Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Asuka alishuka kiwango alipojiunga SD live, kiufupi SD live hawakumfanyia branding kama alivyokuwa Raw, yaani huku hapati promo lolote kama aambavyo raw walifanya kwa Ronda baada ya asuka kuondoka.

Ninachomkubali Stephanie ni kwenye business, anamzidi mbali sana kaka yake Shane, ndo maana hata roster ya raw ni nzuri kuliko hata SmackDown, Stephanie haoni shida kuvunjwa mkono na Ronda ili jina la Ronda lizidi kuwa juu wakati huo huo akimjengea chuki na wanawake wenzie wa Raw, huku akiipaisha brand
 
Kama hamna mbabe wa kumpiga kwa sasa awe anakuja kwenye monday night raw awe anatangaza open challenges akutane na wale madogo akina finn balor na Seth rollins ili tuwe na ushahidi kwamba hakuna wa kumpiga kwa sasa!!
Watamchosha tu basi ila wa kumpiga yule jamaa kwa sasa hamna watakula suplex za hatari
 
Kiukweli Brock na Ronda sio wreslers kabisa. Yaani ukitoa suplex na yule demu kila saa kukimbilia mkono hawana moves nyingine ya kunogesha pambano. Hiyo ndio shida ya kuwachukua MMA fighters and UFC kule zile ndio.moves pekee na kwa kule ndio zinafaa. Yaani ronda hawezi kupiga mtu igaongwa moja mbili tatu....yaani bila submission ya mkono she got nothing.
Nataka WRESLERS NOT FIGHTERS.
Ndio maana mechi ya seth na nakamura ilikuwa tamu kuliko zote.
 
hata wale jamaa wa NXT, wamekiwasha sio kidogo
 
Watamchosha tu basi ila wa kumpiga yule jamaa kwa sasa hamna watakula suplex za hatari
Finn balor ni mtu mbaya sana mtu akienda nae one-to-one bila kuingiliwa!Finn balor alikuwa ndiyo mtu wa kwanza kabisa kuchukua huyo mkanda!!...Finn balor siyo mtu wa kuunderestimate kabisa pale raw!!Hii kusema tu kwa maneno kuwa Dude ana uwezo wa kumpiga kila mtu bila vitendo siyo sawa, inatakiwa ithibitishwe kwa vitendo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…