Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3062][emoji3062][emoji3062] View attachment 1065477
Haki Samoa joe ni mnyama,dakika mbili ameshammaliza mtu![emoji16][emoji16][emoji16]
Huyo fala tu anakimbiliaga kunyongaHaki Samoa joe ni mnyama,dakika mbili ameshammaliza mtu![emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu samahaniMy champ![emoji123][emoji123][emoji123] View attachment 1065476
Mkuu samahani
Marudio ya Wrestemania ni lini na saa ngapi? Channel gani kwa Dstv?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama kawaida marudio ni supersport 9 kuanzia saa kumi na moja leo jioni!Mkuu samahani
Marudio ya Wrestemania ni lini na saa ngapi? Channel gani kwa Dstv?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huwa sa ngapi? Maana huwa naona marudio tu SS9 sa 3 usiku. Naombeni ratiba kamili asee
Samoa Joe ni namba nyingine ile weka mbali kabisa na watu kama Rey atawaua
Hahahahahahahahah Samoa Joe Hahahahahahahahah
Mechi zote za monday night raw,smackdown e.t.c huwa zinakuwa live supersport 8 kuanzia saa tisa ya usiku!Hivi huwa sa ngapi? Maana huwa naona marudio tu SS9 sa 3 usiku. Naombeni ratiba kamili asee
Mimi dude simpendi kabisa nimefurahi alivyopigwa curb stomp tatu!.....Siku ile Finn balor alikosea kidogo alitakiwa amrukia mara tatu au zaidi siyo kama vile alivyomrukia mara moja!!
Asante sanaMechi zote za monday night raw,smackdown e.t.c huwa zinakuwa live supersport 8 kuanzia saa tisa ya usiku!
Hivi vifala vimepata mkanda basi ni kulia!View attachment 1065807
[emoji16][emoji16][emoji16]Usiemdhania kaja