Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Kile kiwanja/ ulingo na yale maeneo yamewekwa viziuri kwa ajili yao so hawawezi kuumia sana. Ila miili yao inapata maumivu na ndio maana wengi wao wanaharibikiwa na Pain Killers ( wanakuwa addictive sana kwa hayo madawa).
Ndio maana wanasema dont try this at home. Maana nyumbani kwako mazingira yake sio rafiki wa ule mchezo
 
Mbona huwa wanatoka damu na wkt mwingine mtu anaonekana kalegea kbs kwa kipigo.
Mf vile wanavyopigana na viti, fimbo.
Wanaoumia wapo na wanaouawa wapo pia. Rey Mysterio aliua mwenzake mwaka juzi. Miaka ya nyuma kidogo broak Lesnar alua mtu kwa kiti
 
Huu mchezo hauhitaji hasira me nilipata baadhi ya script za nyuma ninazo nitazituma muone jinsi gani hawa watu wanafanya,ila me naenjoy huu mchezo na upo kwenye damu cwez acha kuangalia show zake.
 
Huu mchezo ni uigizaji tu mkuu.Tupo pamoja katika hili.
Super man punch ile ukipigwa ya kweli meno na damu vyote vinadondoka chini
Ila one fact ni kwamba hatumii ngumi as ngumi, kipande cha mkono kilichoko kati ya kiganja (arm) na kiwiko (elbow), hiyo ndo anayoparazia kijuu juu tu.
 
Wadau napenda kujua, hivi mieleka inaingia kwenye kundi gani kati ya sports na Entertainment?
 
Hapa ndipo ninapowashangaa wabongo wewe umeshajua ni maigizo na hupendi maigizo lkn bado unaangalia huku unalalamika kama umelazimishwa si ufanye ish nyingine, uendelee na maisha yako bila wwe au uangalie mpira ndio real maisha yasonge?

Kifupi huu ni ufupi wa mawazo, wivu na kijicho. Kutopenda mafanikio ya wengine na kutojua unataka nini maishani, kutojitambua.

Kama feki katafute original maisha yaendelee.Aghhhhhf
 
Du! Mkuu povu kama lote.Utapata tabu sasa kusuuza.
Au wew una hisa WWE?!
 
Hakukuwa na sababu ya kuandika gazeti lote hili
 
Mkuu wewe huwa huangalii movies/series?
Au nazo ni real?
 
Mbona movie na tamthilia pia ni maigizo ila huwa hamna shida? Kwa nini mnapata shida kwenye mieleka?!!
 
Kwa sababu jamaa wa wrestlin wanamisuse miili yao, yani miili km ile kweli wanaishia kuifanya maigzo??

N bora waigize km wale wa exi videoziii dot commercial.. Maana maigzo haya yanatawaliwa na ukweli
Mbona movie na tamthilia pia ni maigizo ila huwa hamna shida? Kwa nini mnapata shida kwenye mieleka?!!
 
Kwa hiyo kwa sababu wana miili mikubwa wewe unataka wauane? Does it bring sense??!...... Mbona hata kwenye movie akina arnold schwarzenegger, van damme na waigizaji wengine wana miili ya kujazia ila huigiza??!
Kwa sababu jamaa wa wrestlin wanamisuse miili yao, yani miili km ile kweli wanaishia kuifanya maigzo??

N bora waigize km wale wa exi videoziii dot commercial.. Maana maigzo haya yanatawaliwa na ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…