Hizi entrance nazipenda kwa upande wa nyimbo
Glorious,
Lucha House party,
USOS,
The new day,
Sami Zahn
Kwa upande was staili ni
Ricochet na Aleister Black
Hivi hao mashoga wa New day siwapendi jamani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hizi entrance nazipenda kwa upande wa nyimbo
Glorious,
Lucha House party,
USOS,
The new day,
Sami Zahn
Kwa upande was staili ni
Ricochet na Aleister Black
Kwa wale wapenzi wa wrestling(Mieleka) huu hapa ndo uwanja wetu.....Njooni tupeane updates za yanayoendelea kwenye tasnia hii....
Tupia comment yoyote.....tupia picha au video ya mieleka yoyote......uliza chochote kuhusu mieleka na wanamieleka upate majibu toka kwa wataalamu...
Haya sasa karibuni tujimwaemwae.....
Mahon simpendi yeye na baba yakeEntrace nzuri ni ya Mr macmahon[emoji3]
Mi mwenyewe siwapendi ila entrance yake inachekesha sana[emoji3] hata Conor Mcgregor (notorious MMA) nahisi kaiga kwakeMahon simpendi yeye na baba yake
Yeah! Jamaa kajitahidi kwenye entranceMi mwenyewe siwapendi ila entrance yake inachekesha sana[emoji3] hata Conor Mcgregor (notorious MMA) nahisi kaiga kwake
Mkuu mieleka ni tofauti na boxing...kuna sheria za wrestling mfano ngumi ya WWE sio kama ya boxing.Mimi ninataka kujua ukweli kuhusu mieleka hii ya wamarekani. Nishasikia sana kutoka hat akwa wamarekani wenyewe kuwa kuna kufake pale jukwaani. Lakini cha kushangaza huwa ninaona watu wakivunjika au kuumia. Haya yote ni fake? Nini hasa huwa fake pale jukwaani?
Wakati mwingine unaona kabisa pia mgogoro wa kupangwa, mtu anaenda kumshambulia mwenzake nyumbani. Unajiuliza, kama ni mgogoro wa ukweli, inakuwaje unarekodiwa? Inakuwaje watu wa usalama hawaingilii kati?
Wwe is not fake but it called World Wrestling Entertainment.Mkuu mieleka ni tofauti na boxing...kuna sheria za wrestling mfano ngumi ya WWE sio kama ya boxing.
Ukisema wrestling ni fake inategemea umelinganisha na kitu gani.
Kuna watu wanaumia wanavunja mikono, shingo na viungo vingine.
Mfano Undertaker alimvunja John Cena shingo. Pia Big E alikua majeruhi.
Update jaman,
Mambo yashaanza