Elias Bihemo
Member
- Jul 4, 2017
- 22
- 8
Amna lesner kaisha skuiz japo na reigns nae kaisha, but kidogo reigns alinipa tumaini alvobaki na stroumen kwenye chamber,,alijitahd mnomechi kubwa kati yao ilikua Wrestlemania 2017, reigns alikula suplex na F5 za kutosha, uwezekano wa reigns kushinda ni mdogo aisee
Madem walosexy ni Alexa bliss, sasha, Carmella,paige na niomi kwa mbali,,,,ila kiboko CarmellaInaitwa END OF DAYS hunyanyuki ukipigwa ile Corbin namkubali sana.
Kwa mademu namkubali sana yule Big NIA JAX...sijui why namuona sexy sana..natamani angekuwa demj wangu[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23]
Kwa mimi Asuka ananiuaga..... Hasa akiingia na manjonjo yake yale.... Ananimaliza pale akivua kinyago chake alaf anakishusha kidogo kwenye meno.... Anakuwa km anaking'ata kwa mapoz huku akirembua basi mwenzio mie chaliiiii!!!!!!Madem walosexy ni Alexa bliss, sasha, Carmella,paige na niomi kwa mbali,,,,ila kiboko Carmella
hahahaha, ukame m.baya sanaKwa mimi Asuka ananiuaga..... Hasa akiingia na manjonjo yake yale.... Ananimaliza pale akivua kinyago chake alaf anakishusha kidogo kwenye meno.... Anakuwa km anaking'ata kwa mapoz huku akirembua basi mwenzio mie chaliiiii!!!!!!
Achhaaaa..... Hatari kabisahahahaha, ukame m.baya sana
Na wanakufa wakiwa hawajavuka hata miaka 45Finn balor n kamachine aseee, ila sema huu mchezo huwa wanafifia nguvu na skills mapema
Kwani hulk hugan ana miaka mingap...Na wanakufa wakiwa hawajavuka hata miaka 45
Wanatumia sana madawa na matokea hufa haraka kwa heart attack na pressure
Hulk hajajiingiza sana kwenye madawa nafikiri maana wapo wengine wanatumia nguvu za asili tu na wengine wanatumia steroids kwa sanaKwani hulk hugan ana miaka mingap...
Ile ni michezo tu..... Hata kama kuna madawa basi yatakuwa hayana madhara.... Wazungu wapo smart sana... Lazma kutakuwa na sheria za kuzuia madawa makaliHulk hajajiingiza sana kwenye madawa nafikiri maana wapo wengine wanatumia nguvu za asili tu na wengine wanatumia steroids kwa sana
Hulk mhenga
Wazungu wako smart? Kwenye hela hakuna kitu hicho ngoja nichimbe deepIle ni michezo tu..... Hata kama kuna madawa basi yatakuwa hayana madhara.... Wazungu wapo smart sana... Lazma kutakuwa na sheria za kuzuia madawa makali
Naunga mkono HojaMmenipinga sana but keep my words!!....Mimi nasema kwa kujiamini kabisa kuwa reign atashinda!!
Come with vivid examplesWazungu wako smart? Kwenye hela hakuna kitu hicho ngoja nichimbe deep
Ntarudi
Fukunyua kuhusu biashara ya mieleka ndio utajua hii biasharaIle ni michezo tu..... Hata kama kuna madawa basi yatakuwa hayana madhara.... Wazungu wapo smart sana... Lazma kutakuwa na sheria za kuzuia madawa makali
Still you hide something.... Plz come with more details at least you can convese us.Fukunyua kuhusu biashara ya mieleka ndio utajua hii biashara
Halafu tupingane kwa hoja
I am not hiding anythingStill you hide something.... Plz come with more details at least you can convese us.
Nashukuru sana tumefika tamatiDuuh haya mzee......