Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,332
- 2,465
- Thread starter
-
- #441
Anapendelewa kivipi.... Mbona wanakubaligi wenyewe wanaomba refa amalize pambano....Asuka anapendeleea sana binafsi sijaona cha ziada.
Alexa hawezi kumpiga asuka hata siku moja, kwanza ashapigwq kwenye match ya kwanza. Anachofanya sa hz ni kumu-undermine kwa kigezo eti English yake sio nzuri. Anasahau kuwa WWE hawafanyi audition ya English fluenceAsuka is nothing,amejikita kwenye kuvunja watu mikono!!....Alichomfanyia baunsa wangu-Nia jax Mungu anamuona!....Mwarubaini wake upo,Alexa yupo tayari kuvunjwa mikono ila atakufa nae!
Nakapenda sana kale ka mdada, kanapigana balaa.Nilikuwa naangalia Impact..... Wakawa wanapigana wadada.... Nikasema ngoja nitafute ambae naweza kumpambanisha na Asuka.... Kwa kweli sikuona
Nadhani anakubaliwa! Wengi wanaona ninkujiaibisha tu maana utaonekana uko incompetent!Hivi kwann kila mtu asiwe na vijamaa vyake au kuna sheria inakataza... Mbona mahal ana vyake, miz anavyake.. Je kila mtu akitaka anakubaliwa
Mungu alivyo mkubwa wanakutana na the monster among men huko wrestlemania![emoji23][emoji23][emoji23]Shemus na cezoro wale jamaa nawakubali Sana... Hasahsaa cezoro
Mkuu wewe ndo unachekesha! Huo mpambano wao alexa alipigwa. Usimfananishe Asuka na akina sasha banks!Hahaah...Unachekesha mzee, itakuwa humjui Alexis na janja janja zake.
She is nothing Compared to Asuka.
Kwanza umewahi kuangalia mpambano wao?
Aisee lilimtandika hadi hurumaSpati picha Brown stromen akimkamata Elias..... Atamuua
Linakuwaga na mahasira ya ajabuElias na magitaa yake huwa nacheka sana.
Ila Strowman siyo binadam wa kawaida. Ni katili sana. Anashinda game then bado anakupa kibano tu.
Hlf huwa anacheza faulo sana.Nilifurahia sana management ya WWE kumpangia zile mechi!!...Kale kajamaa kana dharau sana acha kaadhibiwe!!
Mtu anashinda kwa submission halafu unasema kapendelewa?Asuka anapendeleea sana binafsi sijaona cha ziada.
Mkuu, Mimi na wewe wote ni Mashabiki wa Asuka. Nadhani umniQuote vibaya, hahahahMkuu wewe ndo unachekesha! Huo mpambano wao alexa alipigwa. Usimfananishe Asuka na akina sasha banks!
Baada ya kupigwa alichokifanya alexa ni kumchonganisha asuka na Nia Jax. Alivokuja nia jax akapigwa akaumia vibaya sana mguu. Juzi karudi tena kapigwa mara ya pili.
Huyu alexa ashukuru kuwa hatakutana na asuka wrestle mania, vinginevyo angedhalilika mara ya pili.
Halafu huyu huyu alexa kamleta rafiki yake Mikie James naye kapokea kichapo.
Yupo ila aliapaga akipigwa na roman anastaafuIv ni kweli undertaker amefariki!?
Ooh kweli mkuu samahani kwa hilo.Mkuu, Mimi na wewe wote ni Mashabiki wa Asuka. Nadhani umniQuote vibaya, hahahah
Pamoja sana.
Kweli ndio maana wengine wanapigwa hadi wanatoka damu, wanazimia, wanaliaUnajua mnatakiwa mfaham kitu kmoja, upiganaj ule c maigizo, but ile ni biashara xo lazma waandae stories before pambano( I mean bifu au bongo tunasema kiki).
Hii inafanywa ili kuvuta ladha ya shabik kutazama pambano,,, but the fighting is real
Sidhani km ni fake kwsbb watu wanavunjika hadi shingoNi kipi fake hapo !!? Kesho utasema hata muscles and mazoezi wanayofanya ni fake!
Mwaka majuzi Rey Mysterious alimuua mtu kwa teke lake lile bro!
Naweza kubali kuwa kuna terms and conditions za mchezo kama ilivyo michezo mingine lkn not fake kiasi hicho!!
Na mm huwa najiuliza hivyo.Kwahiyo ana undugu na jinder mahal
Ahhahaha...PamojaOoh kweli mkuu samahani kwa hilo.