Sina kachoka sana sasa ivi, cena alkua miak ya 2008 na 9 huko ndo nilkua fan wakee ile ilee [emoji23][emoji23]
Dah saaafi nimeipata Redbox saafi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpk kakimbiaaaThe beast leo kala kipigo cha mbwa koko![emoji28][emoji28][emoji28]
Halafu wamepora ushindi wa Roman reign kwa sababu yeye ndiye miguu imeanza kugusa chini!....Sheria haisemi alieanza kutoka kwenye cage ndiye mshindi bali alieanza kugusa chini kwa miguu yake ndiye mshindi kama ilivyokuwa kwa Roman!....hata makomentetor wanasema kuwa huo ushindi wa the beast ni controversial![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpk kakimbiaaa
So match ya r/rumble bado mkuuHalafu wamepora ushindi wa Roman reign kwa sababu yeye ndiye miguu imeanza kugusa chini!....Sheria haisemi alieanza kutoka kwenye cage ndiye mshindi bali alieanza kugusa chini kwa miguu yake ndiye mshindi kama ilivyokuwa kwa Roman!....hata makomentetor wanasema kuwa huo ushindi wa the beast ni controversial!
Match imeisha mkuu,, lesna kakimbiaJaman tupen update match ya roman na broke lesnar
Match imeisha mkuu,, lesna kakimbia
Amepora ushindii[emoji23][emoji23]
Maji yamezid unga
Kuna screnshot nmetuma apo juu angalia walichokisema,Ameporaje ushindi? Wakat walikiwa wanashindania Universal championship tena rematch baada ya wreslemania!
Roman reign ndie alikua wa kwanz kugusa chiniKuna screnshot nmetuma apo juu angalia walichokisema,
[emoji23][emoji23] ata mm nilifkr ndie atakae chukua,,,Huwa najiuliza sana mtu kama BROWN STRAWMAN alitakiwa ndo awe WWE universal Champ na nataman sana kuona hivo sijui wanaafata vigezo gani kutoa match za mikanda. Mana last time ilikuwa triple threat broke lesnar, Cane na the beast among men[emoji23][emoji23][emoji23] namkubali sana jamaa