Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Rekebisha kauli, hakupora ushindi....bali alisshinda kihalali kulingana na sheria
Duh!!....Mkuu umefuatilia hizi habari??....Umefuatilia Kurt angle amesemaje kuhusiana na hili sakata??......umefuatilia refa aliechezesha ile mechi amesemaje??....unafahamu ile sheria inasemaje??....Kwa kifupi sana ni kwamba ile sheria inasema kuwa anaetangulia kukanyaga chini/aridhi na miguu yote miwili ndiye mshindi,na roman reign ndiye alietangulia kukanyaga chini/aridhi na miguu yote miwili.Mwili wa Lesnar ulitangulia chini ila alibakia kwenye zile nyavu!.....Kurt angle(meneja wa raw) amesema hivi:"yes, we messed up, but also, nothing changes, and that’s all there is to it.” na refa(Patton) aliechezesha ile mechi amesema hivi:“I understand i made an incorrect decision & want to apologize,i saw Brock Lesnar go thru the cage first and i was concerned for the health and safety of both superstars.”
 
Based on what is going on between AJ style and shinsuke nakamura,Nakamura is coward and shames to all of his fans!
 
Nachokikubali kutoka kwa shinsuke ni ile theme song yake tu mpaka nimeiset as ringtone ila zaid ya hapo hajawahi nishawishi...
 

Jamaa mbishi, halaf inaonekana sijui anaangalia kwa kuchungulia au kwa jicho moja, hado viongoz wamekili ila yeye mbishi tu, juz alibisha et anasema brock ndo alianza kufika chini, sikutaka kubishana nae maana mda mwingine mapenz kwa mtu flani ndo huwa yanatusumbua tunalazimisha na kujifanya tunazijua zaid sheria kumbe ndo tunapotoka zaid, jamaa anafuata ushabiki na mihemko ya kumpenda mtu

Labda nikubaliane na jamaa hapo amesema kuwa wwe hawakuwa tayar kumpa mkanda roman sababu ni nje ya USA labda hapo ntakubali otherwise alistahili kupewa zigo hilo la mkanda
 
Backlash itaonyeshwa leo jumapili live supersport 8 kuanzia saa tisa ya usiku kwa saa za huku Tanzania hadi saa moja na nusu asubuhi![emoji116]
 
Nakumbusha tu:Baadhi ya mechi kali leo kwenye Backlash ya 2018 ni:

1.Randy Orton vs Jeff Hardy
2.Roman reign vs Samoa Joe
3.Seth rollings vs Miz
4.Camella vs Charlotte flair
5.Nia Jax vs Alex Bliss
6.Daniel Bryan vs Big Cass
7.Aj style vs Nakamura
8.Braun Strowman & Bobby Lashley vs. Kevin Owens & Sami Zayn(Nafurahi sana akina owens na Sami Zayn kupangiwa mechi za kupokea kipigo cha mbwa koko!!)
 
Mkuu nakusahihisha kidogo Randy Orton vs Jeff Hardy
 
Owns na samy lazima wachezee kichapo za mbwa koko.. Siwapendi hawa mafala[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…