Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Rekebisha kauli, hakupora ushindi....bali alisshinda kihalali kulingana na sheria
Mkuu kuna jamaa katuma tweet ya refa alochezesha mech ya roman reigns na lesnar kaomba msamaha, kurt angl mwnyw anajua wwe wamefnya makosa kwny hil pambano, ss nashindwa kuelewa wewe n nan unaesema alishanda kihalalii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Namhurumia saaan samoa joe[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Namhurumia saaan samoa joe[emoji23][emoji23][emoji23]
Samoa joe kipigo cha mbwa koko kinamuhusu kwa sababu anaenda kukutana na mtu ambae ameshazoea kupigana na Lesnar a.k.a the Beast hadi akaporwa ushindi wake halali![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii saga ya AJ na Shinsuke ningependa iishe Leo maana ishaanza kuboa sasa Kule smackdown
 
Natabiri Miz kurudisha mkanda wake wa Intercontinental
ha!haaa!!!haaaaa!!!....Seth rollins sasa hivi ni mkali sana hata akichangiwa na miz pamoja na finn balor anapiga wote!!...Leo Miz ataomba msamaha kwa kipigo!!.....Seth rollins ni hatari,alidefend mkanda against watu wanne!
 
ha!haaa!!!haaaaa!!!....Seth rollins sasa hivi ni mkali sana hata akichangiwa na miz pamoja na finn balor anapiga wote!!...Leo Miz ataomba msamaha kwa kipigo!!.....Seth rollins ni hatari,alidefend mkanda against watu wanne!
nimetabiri tu......
 
Miz yuko smackdown now so.lazima ashindwe sababu intercontinel belt ni wa RAW
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…