Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
inapigwa kuanzia saa tisa usiku leo kwa masaa ya huku hadi saa moja na nusu kesho asubuhi live supersport 8!Inapigwa saa ngapi live mkuu kwa masaa ya kwetu?
Hata Kurt Angle pia huwa hawapendi ndiyo maana mechi zao zote huwa anawapangia za kupigwa kipigo cha mbwa koko!Owns na samy lazima wachezee kichapo za mbwa koko.. Siwapendi hawa mafala[emoji23][emoji23]
Okay ile redbox yetu ssp8 ipo kweli? [emoji2] Ile Sony ten ndio wako powa saanainapigwa kuanzia saa tisa usiku leo kwa masaa ya huku hadi saa moja na nusu kesho asubuhi live supersport 8!
Mkuu kuna jamaa katuma tweet ya refa alochezesha mech ya roman reigns na lesnar kaomba msamaha, kurt angl mwnyw anajua wwe wamefnya makosa kwny hil pambano, ss nashindwa kuelewa wewe n nan unaesema alishanda kihalalii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rekebisha kauli, hakupora ushindi....bali alisshinda kihalali kulingana na sheria
One to one match fin akiamua kumkomalia seth, atamshinda vzuri tuhivi ndo kusema Fin ballor hata akukuruke vip hamwezi seth rollings
Namhurumia saaan samoa joe[emoji23][emoji23][emoji23]Nakumbusha tu:Baadhi ya mechi kali leo kwenye Backlash ya 2018 ni:
1.Randy Orton vs Jeff Hardy
2.Roman reign vs Samoa Joe
3.Seth rollings vs Miz
4.Camella vs Charlotte flair
5.Nia Jax vs Alex Bliss
6.Daniel Bryan vs Big Cass
7.Aj style vs Nakamura
8.Braun Strowman & Bobby Lashley vs. Kevin Owens & Sami Zayn(Nafurahi sana akina owens na Sami Zayn kupangiwa mechi za kupokea kipigo cha mbwa koko!!)
Samoa joe kipigo cha mbwa koko kinamuhusu kwa sababu anaenda kukutana na mtu ambae ameshazoea kupigana na Lesnar a.k.a the Beast hadi akaporwa ushindi wake halali![emoji23][emoji23][emoji23]Namhurumia saaan samoa joe[emoji23][emoji23][emoji23]
Nakamura ka panic sana.. Anadhani huku ni NXT aende polepole bado ana nafasi ya kuchuku title ya wweHii saga ya AJ na Shinsuke ningependa iishe Leo maana ishaanza kuboa sasa Kule smackdown
ha!haaa!!!haaaaa!!!....Seth rollins sasa hivi ni mkali sana hata akichangiwa na miz pamoja na finn balor anapiga wote!!...Leo Miz ataomba msamaha kwa kipigo!!.....Seth rollins ni hatari,alidefend mkanda against watu wanne!Natabiri Miz kurudisha mkanda wake wa Intercontinental
nimetabiri tu......ha!haaa!!!haaaaa!!!....Seth rollins sasa hivi ni mkali sana hata akichangiwa na miz pamoja na finn balor anapiga wote!!...Leo Miz ataomba msamaha kwa kipigo!!.....Seth rollins ni hatari,alidefend mkanda against watu wanne!
Usisahau kuamka saa tisa ya usiku ili kushuhudia Miz akila kipigo cha mbwa koko mkuu!nimetabiri tu......
Mzee kama una mzigo tuweke, me nampa The Kingslayer..Natabiri Miz kurudisha mkanda wake wa Intercontinental
Kwenye Redbox channel gani mzee??Usisahau kuamka saa tisa ya usiku ili kushuhudia Miz akila kipigo cha mbwa koko mkuu!