Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,332
- 2,465
- Thread starter
-
- #101
Good day........ AuWale jamaa wanaokatikaga. Wanakuja na magitaa wanaitwaje vile....
Huu ni ugonjwa wangu aiseeeeMi napenda kuangalia wrestling..... Naomba basi mtupieni clip zinazoonesha mapambano ila na sie tusie na vingamuzi tujue kinachoendelea
Mr. MTUI..... Clip nyingine zikowapi..... Wadau wanaulizia huku.....
Mbona juzi kupigwa na Brock Lesnar [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Braun Strowman babalao
Anakimbia utafikiri ni mchezo wa kukimbizana!!Hivi Mitz ni mpiganaji au mchekeshaji ......maana c kwa vituko hivi........ Alafu ndo anatangaza kuchukua intercontinental toka kwa Roman Empire...... [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila huezi amini atampiga Roman rainsAnakimbia utafikiri ni mchezo wa kukimbizana!!
hawezi hata kwa dawa!!.....labda waje kumsaidia wapambe wake ila siyo vile vichalii vyake vile!!Ila huezi amini atampiga Roman rains
Kinalipiwa sh ngapi? Kifurushi chenye hiyo channel ya MBC?Kama una king'amuzi cha azam tv fuatilia kwenye channel ya MBC action kila siku ya jumapili,jumatatu na jumanne kuanzia saa tatu kamili usiku!....Pia channel ya MBC power plus huwa inaonyesha
For such scene it cant convince WWE it is fake coz those are just compilation of scenes that went wrong may be upload another one