Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Roman ni mcheza mieleka ambaye hajitambui kabisa na anashindwa kusoma alama za nyakati pengine nisimlaumu labda na yeye kashauchoga ugali anaogopa kunywa sumu au kujiua ila anatafuta sababu za kuwahi fasta jehanamu.baada ya jindre mahali kumvunja vunja mbavu na viti mia saba na kipigo ambavyo vingine alikua akilia kama mtoto naona haitoshi anataka apigane na boby lashley...hv anamjua huyu mwanajeshi aliyestaafu jeshini ambaye ameshiriki opereshen kadhaa za jeshi la marekani,mbavu Nene na mapafu ya mbwa na kabla ya kuja wwe alikua impact ambapo huko hakuna kuremba ni vitasa na finishing za kufamtu ambazo wwe hazipo na sidhani kama zitakuja kuwepo.nimejaribu kumpigia Vince,raw manager wote wanasema wamemuonya ila kakataa na wakasema huko tz kuna msemo unasema mtoto akililia wembe ufanyaje..nikakaa kimya.nyie mashabiki wake kama kuna namba za familia yake fanyeni kumpigia mumuonye.lasivyo mjichange rambirambi na kuhudhuria msiba
 
Monday night raw leo saa3 usiku mtaona huyu dogo roman asivyojitambua
 
Mzee tunahitaji fact sio mipasho
 
Dah huyo lashley kiwango chake kimeshuka san hata huko Impact alikuwa anapigwa kila siku na Alberto Der lio isitoshe kule impact kuna mwamba kamkimbia anaitwa Brian cage yaan cn waswas kabisa hata hyo extrme rules atakaa tu kwa roman reigns
 
Dah huyo lashley kiwango chake kimeshuka san hata huko Impact alikuwa anapigwa kila siku na Alberto Der lio isitoshe kule impact kuna mwamba kamkimbia anaitwa Brian cage yaan cn waswas kabisa hata hyo extrme rules atakaa tu kwa roman reigns
Roman Reigns.............kwa spear....hatariiiii....
 
Huyo Jindre wako alikuwa spear moja tu ......chaliiiiii......😀
 
Maneno yako meeeeengi hayana maana yeyote ile,extreme rules ya jumapili itahamua ni nani mkali!!
 
Dah huyo lashley kiwango chake kimeshuka san hata huko Impact alikuwa anapigwa kila siku na Alberto Der lio isitoshe kule impact kuna mwamba kamkimbia anaitwa Brian cage yaan cn waswas kabisa hata hyo extrme rules atakaa tu kwa roman reigns
Kweli unafatilia impact cage anapigana sana huyu mtu.
 
Huyo Jindre wako alikuwa spear moja tu ......chaliiiiii......😀
Leo tunamuongelea muuaji boby lashley,mwamba na mwanajeshi Wa jeshi LA marekani.andaa rambirambi kiongozi za roman tutapeleka ubaloz Wa marekani kwa waliiopo tz
 
channel gn?
Supersport 9.huwa jumanne saa9 usiku na marudio saa3 usiku kwa SAA sa tz kwa Monday night raw.kwa smackdown ni jumatano saa9 usiku na marudio saa3usiku.kwa kifurushi cha elfu19 dstv.vifurushi vingine watatusaidia wanaojua
 
Maneno yako meeeeengi hayana maana yeyote ile,extreme rules ya jumapili itahamua ni nani mkali!!
Kiongozi hyo mechi sina haja ya kuangalia.mshindi anafahamika ambaye ni lashley..roman ujuaji safari hii utamponza
 
Kweli wewe shabiki numero uno wa Bob Lashley!...ila nakuhakikishia haweza na haitatokea akampiga Roman!

Lashley amepasuka mwili tu, ila hana nguvu wala technics za kumlaza chini Roman!

Roman size yake ni kina Mahal, Strawman, Kane, Lesner na jamii hizo!

Lashley bado sana. Yeye ahangaike na kina Kelvin Owen, Big Cass na wadudu wengine jamnii hiyo!
 
Leo tunamuongelea muuaji boby lashley,mwamba na mwanajeshi Wa jeshi LA marekani.andaa rambirambi kiongozi za roman tutapeleka ubaloz Wa marekani kwa waliiopo tz
Haaaahaaaa ..........spear moja tu inamtosha............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…