Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Mkuu huyo sio fan wa Lashley, huyo ni The number one Roman Hater in Tanzania
 
Mkuu naomba niseme ulichoandika ni mahaba roman hawez kuwa sawa na kina strawman,Kane na mbaya zaidi umemweka lesnar ambaye Mara zote kampa kipigo cha mbwa koko na pia humtendei haki lashley kumweka na hizo size.nasema tupo na ukweli utajulikana ila safari roman atajitambua na akili itakaa sawa.MTU ana mapigo mawili spear na superman punch kamaliza ndio vimfanye mwanajeshi azirai?Duu ata Mimi nachomoa sembuse mjeda anayetembea na vifaru,bunduki na mabomu?andaa rambirambi mkuu
 
Mkuu huyo sio fan wa Lashley, huyo ni The number one Roman Hater in Tanzania
Mkuu tuseme ukweli vile vi spear na superman punch ndio vimfanye mjeda azirai?ata apigwe 70 kwake ni kama Kofi tu.roman lazima alazimishwe akili ikae sawa akiachwa atakua hajielewi.na big mechi ni lesnar na bony.na sio huyo mbwa Mkubwa Wa zilipendwa
 
Hahahaha sasa haya ndio mapenzi mubashara!

Yani yule kifutu Lashely ananini cha kumpiga The Empire, The Big Dog?....na vile Lashley anavyopigwa anarukaruka kama mkia wa mjusi uliokatwa nasema ATAPATA TABU SANA KWA THE BIG DOG!

Roman ni levo za niliowataja na sio hao "machipukizi"
 
Kiongozi kweli kabisa unamfananisha raia mtoto Wa mama na mjeda tena nahisi mjaluo yule
 
[emoji12] [emoji12] Mwache maana kipigo cha Lesnar akijamtosha
 
Please naomba kwenye hiyo list yako mtoe Lesnar, .....Roman Reigns hajawahi kuwa level sawa na Lesnar...tena umtake radhi Lesnar
 
Please naomba kwenye hiyo list yako mtoe Lesnar, .....Roman Reigns hajawahi kuwa level sawa na Lesnar...tena umtake radhi Lesnar
[HASHTAG]#teamLesner[/HASHTAG] utawajua tu! Hahahaha wapi gebu wa kitengo cha uhamasishaji?..hahahaha
 
Man, Bob lashley sio chipukizi ni mkali toka kitambo hata kabla hatujamjua roman...spear ya Edge, ndo ilikuwa balaa sio hii ya roman
 
Em rudia lashlay na roman nani chipukizi

Lashlay kazipiga zaman kidogo toka kina RVD ,GUERERO, 3:16
 
Please naomba kwenye hiyo list yako mtoe Lesnar, .....Roman Reigns hajawahi kuwa level sawa na Lesnar...tena umtake radhi Lesnar
Kama ujumbe huo alioandika kina Vince na mashabiki Wa wwe dunia ikitokea wameona mitambo inaweza zimwa tusione wwe tena maana sio kwa dharau ya kumweka Size moja roman na lesnar.amtake radhi lesnar huku anapiga magoti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…