Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Extreme rule matches 2018![emoji116]
IMG_20180715_161709_782.JPG
 
Ambao hawajaangalia extreme rule live nawaona jinsi wanavyokodoa macho!![emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mkuu Big Dog na Bobby vp ? Nani kashinda.... Nasubiri marudio leo saa 11:30 jion
DSTV wameadjust ratiba,marudio yataanza saa moja na nusu jioni leo jumatatu tarehe 16/07/2018 supersport 9 badala ya saa kumi na moja na nusu!
 
Roman naona ameanza kuchoka, mimi ni shabiki wake lakini naona jamaa hajitumi kama zamani
 
General manager Kurt Angle kwenye extreme rules ya leo ametangaza kuwa atamtumbua Brock Lesnar kama ataendelea kukwepa mechi!
 
Back
Top Bottom