Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,332
- 2,465
- Thread starter
- #901
Umesahau na big dog kwenye iyo listSamoah Joe saiz yake ni kina Rusev, Jindal Mahal, Boby Roode na Big E wa new day
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau na big dog kwenye iyo listSamoah Joe saiz yake ni kina Rusev, Jindal Mahal, Boby Roode na Big E wa new day
Anaforce rematch kwenye backlashNakamura mambo ya kijinga anayomfanyia AJ style tokea apigwe nae he is coward and hopeless!
Mi mwenyewe ananikera.... Ntaacha Sasa hivi kuwa fans wakeNakamura mambo ya kijinga anayomfanyia AJ style tokea apigwe nae he is coward and hopeless!
Ni mpumbavu,hakubali kushindwa!....mbona Asuka alikubali kushindwa bila tatizo lolote na sasa hivi ni marafiki na aliempiga(Tolu), yeye Nakamura anashindwa nini kukubali kupigwa??!Mi mwenyewe ananikera.... Ntaacha Sasa hivi kuwa fans wake
Mpuuzi Kweli.... Hivi Jinder Mahal ule mkanda wa United States imekuwaje.... Mbona naona Jeff Hardy kaingia nao juzNi mpumbavu,hakubali kushindwa!....mbona Asuka alikubali kushindwa bila tatizo lolote na sasa hivi ni marafiki na aliempiga(Tolu), yeye Nakamura anashindwa nini kukubali kupigwa??!
Kampiga jamaa akamnyang'anyaMpuuzi Kweli.... Hivi Jinder Mahal ule mkanda wa United States imekuwaje.... Mbona naona Jeff Hardy kaingia nao juz
Lini hiyo.... Mbona sjaiona mkuuKampiga jamaa akamnyang'anya
Tarehe 16 mkuuLini hiyo.... Mbona sjaiona mkuu
Afadhali maana nlikuwa nawaza hizo tambo kila siku atatupotezea muda kujigamba ulingoniTarehe 16 mkuu
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] kumbe na ww hulipendi hahahaaa kama mm, ila niliona pale linapigwaAfadhali maana nlikuwa nawaza hizo tambo kila siku atatupotezea muda kujigamba ulingoni
United States championship iko Smack down. Kitendo cha jinder kwenda raw maana yake ni kuwa yeyote ambaye angempiga automatically anaenda smack down.Mpuuzi Kweli.... Hivi Jinder Mahal ule mkanda wa United States imekuwaje.... Mbona naona Jeff Hardy kaingia nao juz
Kunatofauti gan kati ya Raw.. SmackDown.. WWE... Na nyinginezoUnited States championship iko Smack down. Kitendo cha jinder kwenda raw maana yake ni kuwa yeyote ambaye angempiga automatically anaenda smack down.
Ndo maana Jeff hardy alivompiga jinder akatoka raw na kwenda smack down!
WWE ni kampuni inayofanya mambo mengi, mojawapo ndo hili la mieleka.Kunatofauti gan kati ya Raw.. SmackDown.. WWE... Na nyinginezo
Upo vizur mkuu ...unafaa kuwa mwalimu [emoji120][emoji120]WWE ni kampuni inayofanya mambo mengi, mojawapo ndo hili la mieleka.
Upande wa mieleka WWE kwa sasa ina brands tatu (Raw, Smack down na NXT). Kila brand ina makombe/mikanda yake ambayo yanatakiwa kuwepo yenye hadhi tofauti, (Hadhi ya dunia, kawaida, wanawake na team)
Upande wa RAW mkanda wenye hadhi ya dunia ni Universal championship, hadhi ya kawaida ni Intercontinental championship, ndo unakuwepo ule wa wanawake na tag team championship. Kwa sasa cruiser weight division imeunganishwa na raw hivyo kufanya idadi ya mikanda hapa kuwa mitano ukiwemo na cruiserweight championship.
Smack down mkanda wenye hadhi ya dunia ni WWE championship, hadhi ya kawaida ni united States championship na ule wa wanawake na tag team.
NXT ambayo ni kama kituo cha kuibua/kukuza vipaji cha WWE pia ina mikanda yake.
Hata hivyo, mfumo wa uendehaji wa hizi brands za WWE hubadilika mara kwa mara tangu kuanzishwa kwake. Huu mfumo uliopo umewekwa mwaka 2016. Mda wowote unaweza kuona mabadiliko.
Pamoja na hayo zipo kampuni nyingine za mieleka duniani ambazo hushindana na WWE, mfano TNA, World Pro wrestling, n.k
Jumatatu.... Marudio Juma nne saa mbili usiku supesport 09, na Jumapil kuanzia saa nne usiku super sport 10Kwa DSTV Raw huwa ni lini na saa ngapi na channel ipi?!?
Jinder mahal alipigwa na Jeff Hardy na mkanda ukachukuliwa ila wana rematch ijumaa kule Saud Arabia katika ile greatest royal rumble!Mpuuzi Kweli.... Hivi Jinder Mahal ule mkanda wa United States imekuwaje.... Mbona naona Jeff Hardy kaingia nao juz