Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Huwa napenda sana hawa jamaa wanyukane
Nahisi mara nyingine walikua wanabutuana kweli hadi midamu
undertaker4.jpg
4cc5f5351adba3e4-600x400.jpg
 
Watu wenye level moja ndo huwa wanapandishiana kifua.....Lini ushaskia Maharaja akimtambia Lesnar.....Anatafuta wa level zake ndo anamzingua.
Hahaha mzee lesnar anafaa apambane na Jinder au Samoa joe
 
Prof unajipinga na kujicontradict mwenyewe ndiyo maana hapo juu umekiri kuwa wewe siku hizi huangalii tena mieleka na umehamia kwenye car rally kwa hiyo dhana ya kwamba wewe ni mfuatiliaji wa mieleka haipo ni better ukatuachia uzi wetu sisi wafuatiliaji,na hili linadhihirishwa kwa upotoshaji uliofanya kwenye comment yako hapo juu kama vile kusema eti the shield wamekufa kwa sababu hawakuwa ass kisser,the fact ni kwamba the shield wamekufa baada ya Ambrose kuumia!......Cha kukushauri ndugu yangu anzisha tu uzi wako wa car rally kwa kuwa mieleka hufuatilii tena!!....hapo mwisho naona umeniomba msamaha, kwa kifupi we don't need excuse here,we need fact and consistency!
Hahah...mkuu umetisha. FYI samahani ni neno pana sana! Depend on how you interpret it. Jaribu kuwa na heshima kidogo kwani hatulingani kwa kila kitu. Anyway, ngoja nikuachie uzi wako mjuvi wa mieleka, ila kwa taarifa yako nimeanza kufuatilia mieleka nafikiri kabla hujazaliwa. wakati unamwona BIG SHOW Kwenye tv, mimi nimekutana naye face-to-face na aka-sign autobiography yangu. Nimekuwa nikisafiri kwenda kuangalia pambano live na kulipa kiingilia ambacho wewe huwezi kulipa. Na hata pambano la Lesnar vs the rock (2002) summer slam, I was there. Nikitoka Michigan kwenda New York just to watch Lesnar.
Sifuatilii wrestling kwa sababu WWE haina mvuto tena. wrestlers wa kiume wa sasa hawana tofauti na dada zao. My time is up kwenye kufuatilia mieleka,hope it's your time now...
 
Hahah...mkuu umetisha. FYI samahani ni neno pana sana! Depend on how you interpret it. Jaribu kuwa na heshima kidogo kwani hatulingani kwa kila kitu. Anyway, ngoja nikuachie uzi wako mjuvi wa mieleka, ila kwa taarifa yako nimeanza kufuatilia mieleka nafikiri kabla hujazaliwa. wakati unamwona BIG SHOW Kwenye tv, mimi nimekutana naye face-to-face na aka-sign autobiography yangu. Nimekuwa nikisafiri kwenda kuangalia pambano live na kulipa kiingilia ambacho wewe huwezi kulipa. Na hata pambano la Lesnar vs the rock (2002) summer slam, I was there. Nikitoka Michigan kwenda New York just to watch Lesnar.
Sifuatilii wrestling kwa sababu WWE haina mvuto tena. wrestlers wa kiume wa sasa hawana tofauti na dada zao. My time is up kwenye kufuatilia mieleka,hope it's your time now...
Mimi naona ulichoandika hapa ni kufanya show up tu mkuu.

Anyway, km huna wa kumshabikia sasa kwenye wrestling, sisi wenzio tunao..

Km ni kusainiwa autobiography, tukieleza tumesainiwa na wwe super stars wangapi, ww ungekaaa kimya.

Kuhudhuria mapambano live tunahudhuria hadi leo na bado tunanogewa tu..

Ikichacha kwako, kwetu mbona bado tamu na mbichi kbs
 
Hahaha mzee lesnar anafaa apambane na Jinder au Samoa joe
Jinder na Joe hawamuwezi Lesner... Km Reign alimshindwa, siyo rahisi hayo wengine kumpiga Lesner. Labda Brown Strowman anaweza kuweka challenge kwa Lesner...

Ila i still believe, Roman Reign atajamchapa Lesner
 
AzamTV ni channel 208 MBC plus power

RAW ni Jumatatu saa 6:00 usiku, marudio ni kesho yake J4 saa 10:00 jioni

Smackdown ni Jumanne 6:00 usiku, marudio ni kesho yake J5 saa 10:00 jioni

NB: sio live wanachelewa wiki moja kabla...kwa mfano Leo wataonyesha smackdown ya tar 28/05/2018
Vp ratiba ya dstv kwa wrestling?
 
Mimi naona ulichoandika hapa ni kufanya show up tu mkuu.

Anyway, km huna wa kumshabikia sasa kwenye wrestling, sisi wenzio tunao..

Km ni kusainiwa autobiography, tukieleza tumesainiwa na wwe super stars wangapi, ww ungekaaa kimya.

Kuhudhuria mapambano live tunahudhuria hadi leo na bado tunanogewa tu..

Ikichacha kwako, kwetu mbona bado tamu na mbichi kbs
Mhh! Show off? Whatever nigger...whatever!
 
Nyie mashabiki wa roman hamwaminiki.tuaminisheni kwanza ili tuwaamini muone kama ela hatujato..ukiumwa na nyoka ata jani likikugusa unaruka.jindre mahal maharaja atampiga roman labda kama roman angepigana na elayas ningesema roman anashinda.ila kwa jindre mahal maharaja huyo mbwa lazima akae.nipo tayari kubet lazima kuwe na nafasi ya kuwaamini nyie matapeli wa roman
Tubeti mkuu, km kusipokua na interactions zozote, Roman Reign atamchapa Jinder Mahal. Endapo Roman akipigwa nitakupa laki tano... Roman akishinda, nipe elfu 20 tu
 
Hivi wakuu, Mnajua kuwa kwenye money in the bank, Shinsk Nakamura atabeba ubingwa?
 
Kwa dstv ni channel namba ngapi itaonesha? Saa ngapi?
Mkuu DSTV huwa wanaonyesha live raw ya jumatatu kuanzia saa tisa ya usiku hiyo jumatatu hadi saa moja asubuhi supersport 8 na marudio yake ni jumanne kuanzia saa tatu ya usiku hadi saa tano na nusu ya usiku supersport 9 na jumanne wanaonyesha smackdown live kuanzia hiyohiyo saa tisa ya usiku jumanne hadi saa moja ya asubuhi supersport 8 na marudio yake ni kila siku ya jumatano saa tatu kamili usiku hadi saa nne na nusu usiku supersport 9 kwa kifurushi cha tsh 19,000/= kwa mwezi!

Sent from my Armor using JamiiForums mobile app
 
Kwann Roman Haaminiki?
Hivi nyie mashabiki wa Roman Reigns mkoje......Ina maana hamuoni kwa Sasa show inayo hit ni ya Roman Reigns na Jinder Mahal.......mmeng'ang'ana na Lesnar mpaka sasa hivi........Kwa taarifa yenu Lesnar hana mpakango wa kupigana na Roman reigns tena naana si level yake.....ndo maana reigns kaamua kutafuta level zake kina maharaja na samoa joe..[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu DSTV huwa wanaonyesha live raw ya jumatatu kuanzia saa tisa ya usiku hiyo jumatatu hadi saa moja asubuhi supersport 8 na marudio yake ni jumanne kuanzia saa tatu ya usiku hadi saa tano na nusu ya usiku supersport 9 na jumanne wanaonyesha smackdown live kuanzia hiyohiyo saa tisa ya usiku jumanne hadi saa moja ya asubuhi supersport 8 na marudio yake ni kila siku ya jumatano saa tatu kamili usiku hadi saa nne na nusu usiku supersport 9 kwa kifurushi cha tsh 19,000/= kwa mwezi!

Sent from my Armor using JamiiForums mobile app
Shukran mkuu maana ratiba huwa siifahamu... Nitaifuatilia vilivyo sasa..

Kwaiyo hata money in the bank watairusha live?
 
Hivi nyie mashabiki wa Roman Reigns mkoje......Ina maana hamuoni kwa Sasa show inayo hit ni ya Roman Reigns na Jinder Mahal.......mmeng'ang'ana na Lesnar mpaka sasa hivi........Kwa taarifa yenu Lesnar hana mpakango wa kupigana na Roman reigns tena naana si level yake.....ndo maana reigns kaamua kutafuta level zake kina maharaja na samoa joe..[emoji23][emoji23][emoji23]
Hao Samora na Jinder, ndo walijipendekeza kwa Reign ili kujipatia umaarufu.

Huyo jinder, ndo alimvurugia Reign ili asi qualify ktk money in the bank...

Reign ana intention za ku - take what is his from Lesner.

Kumbuka, Reign is uncrowned Champ! Refa alikosea hadi radhi aliomba
 
Back
Top Bottom