Mzee wa miongozo mbona hata mimi nilishampa maua yake, jamaa hana drama kabisa. Tena akiona mikelele anapita anawapa likes masuria wake anaendelea na miongozo yake.!Sio tyuuh mtu mzima, yeye sio wa kuwa kwenye drama na njegeka hata km ingekua inamuhusu, yeye anapiga kimyaa tyuuh. Ndo uanaume huu...
KwannPagumu hapa
mie mkulima na mfugaji, karibu nikuuzie nyama, maziwa na mbolea.Mbona kama umetoka kwenye zizi la ng’ombe mkuu
Noma sana mkuu!Buti la jeje
Hapo nipo kwa mama supu mkuu nikipata moja mbili tatu ahahaKimekaa unyama.. Misele ya kitaa
[emoji91][emoji91][emoji91]
EwaaaaahWeekend miguu ipumue
Njoo tuangaike woteKha unaangaika.
Mambo ya pm hakuna❌Nakuja PM nifungulie
Vitoe!Hivi vi-tag natakiwa nitoe au?
View attachment 3029684
Geuka basi mjomba