Akuwai kugombewa. Alitoka kisarawe akajiunga na Yanga mwaka 1977 akiwa na wenzie wawili na mkumbuka mmoja kwa jina la Yasin alikuwa anacheza namba 3 ila wote walikuwa na mapenzi na Simba.
Alichezea Yanga msimu mmoja wa mwaka 1977 na alikuwepo miongoni mwa wachezaji wa Yanga waliofungwa na Simba 6-0.