Mpira wa kona
JF-Expert Member
- Nov 25, 2016
- 350
- 338
Wadau wa soka la bongo naomba tukumbushane jinsi ilivyotokea mgogoro wa kumgombania mchezaji mashuhuru miaka ya 1980 "Ezekiel Greyson " Jujuman baina ya vilabu vya Simba Na Yanga ili ambao hawakuwahi kuisikia nao waijui.