Wadau wa uchumi inakuwaje mkoa wa Kilimanjaro unachangia pakubwa kwenye uchumi wa Tanzania kuzidi mkoa wa Geita?

Hao wanamchango mdogo sana! Mfanyakazi wa Mgodini hapa Geita ni mtu wa kawaida tu na hana hela kuzidi wachimbaji wadogo!
Wachimbaji wadogo wanatumia uchawi kupata madini,wakiahapata wanalewa na kutombra zote zinaisha
 
Utalii ndio unaingiza mapato mengi zaidi nchi hii, Kila mwaka kuna watalii zaidi ya 30,000 wanaotembelea mlima Kilimanjaro.
Utalii ndio unaingiza mapato mengi nchi hii? Si kweli
 
Maskini bhana tabu sana! Nhii bado masokini sana hata hapa Dar maisha bado sana! Japo tuendee kufarijiana!
Masokini ndo nini? Nhii ni nini? Isije ikawa kamusi ya kiswahili imebadilika mi sielewi umeandika nini
 
Mzee umeongea nini. Unaulizwa swala la uchumi unazungumzia maendeleo. Tofautisha shughuli za uchumi na maendeleo. Mi kwetu ni kibosho na narudia tena huo mlima kwa mchagga labda anachofaidi ni wagen wanaopanda mliman wanawaachia viela kidogo lakin sijawah kuona gawio linabaki katika vijiji vinavyoizunguka mlima vinapewa kama zile halmashuri zinakochimbwa dhahabu wanavyotoa gawio.
 

..umesema ukweli.

..kuna kipindi Mh.Mbatia alilalamika bungeni kuhusu wananchi wanaoishi karibu na Mlima Kilimanjaro kutokufaidika na mapato ya utalii ktk mlima huo.
 
Usiogope ni siasa za kipumbavu tu hizo
 
Ukisema unataka uone gawio kwa serikali siyo raisi mkuu hazina ya taifa tangu lini ikajaa kisha irudishe gawio hata kunakochibwa gasi au magaa ya mawe wanaambulia vumbi tu bora hata mlima vijana wenye nguvu kuambulia vibarua
 
Walaumu hao walio toa ripoti kwa kutoeleza walikuwa na maana gani!
Hiyo itakuwa ripoti ya namna gani isiyo kuwa na maelezo; au huyo huyo uliye msikia akisema hivyo, ungemuuliza ana maana gani kutaja tu bila maelezo yoyote!

Lakini inawezekana pia maelezo yapo, lakini kwa ufinyu wa akili yako hukuyaelewa!
Lawama pia inakuangukia wewe kwa uvivu unao uonyesha hapa kwa kuleta mada bila kujibidisha kwanza kutafuta taarifa ili upate jibu au mahali pa kuanzia mijadala. Badala yake unakuja kubwaga tu hapa taarifa isiyo kuwa na msaada kwa wasomaji..
Aina ya watu kama wewe ndio wanaoleta matatizo mengi sana huko kwenye maofisi ya serikali. Mmejazana huko, na hakuna kazi ya maana mnayo ifanya huko.
 
Nimekusikiliza. Na Dodoma jee, pamejaa nini?
 
Kilimanjaro imebarikiwa na Mungu yangu mwanzo.
 
Kama Mwanza na Mbeya wanazalisha vitu ambavyo havikatwi kodi, na kodi ndio kigezo cha kupima mapato ya mkoa, iweje useme hii mikoa inaweza izidi dar?. Au unataka kusema Serikali inapoteza fedha nyingi kwa kutotoza kodi bidhaa nyingi kutoka hiyo mikoa?
 
Umeelewa au unapuyanga tu, wapi nimesema wanazalisha vitu visivyo takiwa na Kodi? Nimekwambia bidhaa za kilimo, madini na uvuvi Huwa haziingizwi kwenye mfumo wa TRA kwa maana hiyo ni ngumu kuona mapato yake at instant lakini bidhaa hizo ndiyo core products za uchumi wa taifa lolote.
 
Ukisema unataka uone gawio kwa serikali siyo raisi mkuu hazina ya taifa tangu lini ikajaa kisha irudishe gawio hata kunakochibwa gasi au magaa ya mawe wanaambulia vumbi tu bora hata mlima vijana wenye nguvu kuambulia vibarua
Hakuna kuna pct flan inatakiwa ibak mahali husika kusaidia maendeleo sema wachagga hawamind hizo Mambo maana Mambo mengi wanajifanyia wenyewe
 
Sasa kiongozi kiuhalisia si ndio inakuwa haichangii kwenye uchumi wetu
 
Sasa kiongozi kiuhalisia si ndio inakuwa haichangii kwenye uchumi wetu
Haichangii kivipi wakati kilimo ndiyo sekta muhimu kwa maisha na uhai wa taifa lolote. Nenda popote hata ulaya mazao ya kilimo ni tax exemption na hata madini Kila siku unaambiwa serikali imekusanya mrabaha yaani sehemu ya faida kutoka kwa mzalishaji na siyo Kodi uwe unaelewa?.
 
Hakuna Cha high season Wala low season, Kilimanjaro haiwezi na kamwe haitaweza ipita Mapato Arusha au Mwanza
Mapato ya kiutalii Arusha kama mkoa ni kwa wilaya chache sana almost wilaya tatu tu, Arumeru, Arusha na Karatu labda kwaudogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…