Wadau wa Yanga mkoa wa Tanga

Wadau wa Yanga mkoa wa Tanga

Kalolelo

Senior Member
Joined
Oct 17, 2018
Posts
164
Reaction score
244
Tunaomba kujua utaratibu wa mapokezi ya timu yetu ya Yanga pamoja na namna ya kutoa michango ya pesa pia wanayanga tujitokeze Mkwakwani siku ya Jumapili yanga daima mbele nyuma mwiko
 
Tunawasubri wageni wetu
IMG-20190129-WA0023.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom