Wadau wajiuliza Waarabu wamemfanya nini Luis Konde?

Wadau wajiuliza Waarabu wamemfanya nini Luis Konde?

george aloyce

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2017
Posts
1,302
Reaction score
2,023
"Al Ahly wameturudishia Miquissone ambaye hatukuwapa. Mwanzoni ilitajwa kama amenenepa sana. Ni kweli ungeweza kumuona kabisa akiwa amenenepa. Baadaye ikatajwa kwamba amekata uzito na kweli ungeweza kumuona amepungua uzito."

"Tatizo hata baada ya kukata uzito bado hatumuoni Miquissone tuliyempenda na kumhusudu. Juzi aliachiwa Mpira akiwa peke yake na tena katikati ya uwanja, alikimbia na mpira kwa spidi ambayo yeye alijua yupo kasi lakini kiuhalisia haikuwa ile kasi ambayo sisi tunamfahamu nayo. Akakutwa na mlinzi ambaye alikuwa amemuacha kwa zaidi ya mita 20, ingekuwa kwa kipindi kile wakati ana wasili tungesema ni kwa sababu ya uzito wake, na sasa je? [emoji848]

"Juzi Miquissone aliingia kutoka benchi na tena kwenye pambano gumu la ugenini dhidi ya Singida Fountain Gate. Hakuna shabiki aliyeonekana kulalamika kwa sababu wanajua Kiwango chake kilivyo. Mashabiki wetu ni wanazi lakini sio wajinga, endapo Robertinho angemweka benchi yule Miquissone wa zamani basi angekiona cha mtema kuni. Mashabiki wa Simba hawalaumu kwa sababu wanajua wamerudishiwa Miquissone mwingine."

"Tuendelee kumsubiri Miquissone arudi kwenye ubora wake lakini nimeanza kupata shaka kidogo baada ya kukumbuka stori ya Coutinho. Wakati mwingine Mchezaji akirudi kwenye klabu yake ya zamani anajikuta hawezi kurudi tena kwenye ubora wake. Napatwa na wasiwasi na Miquissone kwa sababu licha ya uzito wake kupungua ila bado kasi yake maamuzi yake hayaonekani Uwanjani"

"Kama Miquissone hatarudi kuwa yule tena basi maisha yatakuwa magumu kwa Simba ambayo muda si mrefu itaingia Uwanjani katika michuano miwili mikubwa ya Afrika. Watu wanategemea kuiona ile Simba ya Chama na Miquissone ikiwa kwenye ubora wake lakini wakati Chama akiwa amerudi vyema baada ya kuchemka Morocco, Miquissone hajarudi kama alivyoondoka."

1696926980462.jpg
 
Ana miaka 28 alafu wa duara kuna kazi kubwa ya kufanya. Kwa mchezaji wa soka anapo elekea ki umri nishati inayo zalishwa na mwili wake inapungua na si kuongezeka.
 
timu ina wachezaji 11 ndani.
Kwanini Luis na sio mwingine?
Tuachieni mchezaji wetu.
Wachezaji wote wanatakiwa waoneshe bidii sio kwa Luis tua cheni kumtoa kwenye game
 
Ukienda kucheza MPIRA kwa WAARABU utalipwa pesa nyingi sana

Lakini pamoja na kulipwa MABILIONI na mamilioni, kiwango na uwezo wa mchezaji unaisha kama mshuma.

REJEA wachezaji wote walioenda Uarabuni.

1. Bangala Alikuwa mchezaji wa Juu mno nikajua Atacheza Epl lakini wapi.

2. Kisinda ALIONDOKA WA moto mno akapotea akarudi akapoteana kabisa.

3.Chama ameshuka Sana....

4.saido Ameisha.

5. MIQUISSONE ndio huyo.

Na wengine Mifano Mingi sana
Machupaz Alex masawe nk

UARABUNI HAPAFAI KABISA
 
"Al Ahly wameturudishia Miquissone ambaye hatukuwapa. Mwanzoni ilitajwa kama amenenepa sana. Ni kweli ungeweza kumuona kabisa akiwa amenenepa. Baadaye ikatajwa kwamba amekata uzito na kweli ungeweza kumuona amepungua uzito."

"Tatizo hata baada ya kukata uzito bado hatumuoni Miquissone tuliyempenda na kumhusudu. Juzi aliachiwa Mpira akiwa peke yake na tena katikati ya uwanja, alikimbia na mpira kwa spidi ambayo yeye alijua yupo kasi lakini kiuhalisia haikuwa ile kasi ambayo sisi tunamfahamu nayo. Akakutwa na mlinzi ambaye alikuwa amemuacha kwa zaidi ya mita 20, ingekuwa kwa kipindi kile wakati ana wasili tungesema ni kwa sababu ya uzito wake, na sasa je? [emoji848]

"Juzi Miquissone aliingia kutoka benchi na tena kwenye pambano gumu la ugenini dhidi ya Singida Fountain Gate. Hakuna shabiki aliyeonekana kulalamika kwa sababu wanajua Kiwango chake kilivyo. Mashabiki wetu ni wanazi lakini sio wajinga, endapo Robertinho angemweka benchi yule Miquissone wa zamani basi angekiona cha mtema kuni. Mashabiki wa Simba hawalaumu kwa sababu wanajua wamerudishiwa Miquissone mwingine."

"Tuendelee kumsubiri Miquissone arudi kwenye ubora wake lakini nimeanza kupata shaka kidogo baada ya kukumbuka stori ya Coutinho. Wakati mwingine Mchezaji akirudi kwenye klabu yake ya zamani anajikuta hawezi kurudi tena kwenye ubora wake. Napatwa na wasiwasi na Miquissone kwa sababu licha ya uzito wake kupungua ila bado kasi yake maamuzi yake hayaonekani Uwanjani"

"Kama Miquissone hatarudi kuwa yule tena basi maisha yatakuwa magumu kwa Simba ambayo muda si mrefu itaingia Uwanjani katika michuano miwili mikubwa ya Afrika. Watu wanategemea kuiona ile Simba ya Chama na Miquissone ikiwa kwenye ubora wake lakini wakati Chama akiwa amerudi vyema baada ya kuchemka Morocco, Miquissone hajarudi kama alivyoondoka."

View attachment 2777573
Mkuu unasema alimucha beki mita 20 au 2 ?!?
 
Mbona Cristiano Ronaldo alianza kuwa bora kuanzia miaka 29-34? Pale Santiago Bernabeu?
Inawezekana ulianza kumuona akiwa na miaka 29. Arsenal wanaweza kukueleza vizuri.
CR7 anazingatia chakula, mazoezi makali na kupumzika.
Awa wachezaji wetu wanao kula kitimoto rost kilo moja na ndizi mbili kila siku, awawezi kucheza kwa ubora wakiwa na umri mkubwa.
 
Inawezekana ulianza kumuona akiwa na miaka 29. Arsenal wanaweza kukueleza vizuri.
CR7 anazingatia chakula, mazoezi makali na kupumzika.
Awa wachezaji wetu wanao kula kitimoto rost kilo moja na ndizi mbili kila siku, awawezi kucheza kwa ubora wakiwa na umri mkubwa.
Tatizo sio umri, Ronaldo aliperform at the highest level pale Madrid, yes licha Manchester United aliperform sana ila haizidi ya pale Madrid.

Nidhamu, Nidhamu, Nidhamu.
 
Ana miaka 28 alafu wa duara kuna kazi kubwa ya kufanya. Kwa mchezaji wa soka anapo elekea ki umri nishati inayo zalishwa na mwili wake inapungua na si kuongezeka.
Ndio maana yanga kwa kulijua hilo mkamsajili under 20 Lazarus kambole na gael bigirimana [emoji1787][emoji1787]
 
"Al Ahly wameturudishia Miquissone ambaye hatukuwapa. Mwanzoni ilitajwa kama amenenepa sana. Ni kweli ungeweza kumuona kabisa akiwa amenenepa. Baadaye ikatajwa kwamba amekata uzito na kweli ungeweza kumuona amepungua uzito."

"Tatizo hata baada ya kukata uzito bado hatumuoni Miquissone tuliyempenda na kumhusudu. Juzi aliachiwa Mpira akiwa peke yake na tena katikati ya uwanja, alikimbia na mpira kwa spidi ambayo yeye alijua yupo kasi lakini kiuhalisia haikuwa ile kasi ambayo sisi tunamfahamu nayo. Akakutwa na mlinzi ambaye alikuwa amemuacha kwa zaidi ya mita 20, ingekuwa kwa kipindi kile wakati ana wasili tungesema ni kwa sababu ya uzito wake, na sasa je? [emoji848]

"Juzi Miquissone aliingia kutoka benchi na tena kwenye pambano gumu la ugenini dhidi ya Singida Fountain Gate. Hakuna shabiki aliyeonekana kulalamika kwa sababu wanajua Kiwango chake kilivyo. Mashabiki wetu ni wanazi lakini sio wajinga, endapo Robertinho angemweka benchi yule Miquissone wa zamani basi angekiona cha mtema kuni. Mashabiki wa Simba hawalaumu kwa sababu wanajua wamerudishiwa Miquissone mwingine."

"Tuendelee kumsubiri Miquissone arudi kwenye ubora wake lakini nimeanza kupata shaka kidogo baada ya kukumbuka stori ya Coutinho. Wakati mwingine Mchezaji akirudi kwenye klabu yake ya zamani anajikuta hawezi kurudi tena kwenye ubora wake. Napatwa na wasiwasi na Miquissone kwa sababu licha ya uzito wake kupungua ila bado kasi yake maamuzi yake hayaonekani Uwanjani"

"Kama Miquissone hatarudi kuwa yule tena basi maisha yatakuwa magumu kwa Simba ambayo muda si mrefu itaingia Uwanjani katika michuano miwili mikubwa ya Afrika. Watu wanategemea kuiona ile Simba ya Chama na Miquissone ikiwa kwenye ubora wake lakini wakati Chama akiwa amerudi vyema baada ya kuchemka Morocco, Miquissone hajarudi kama alivyoondoka."

View attachment 2777573
Kwa hiyo hizo assist anazotoa kweli magoli huzioni au umejawa na ushabiki
 
Back
Top Bottom