Wadau walalamikia uduni wa risiti zinazotolewa kwa waliopima Corona JNIA , yadaiwa hakuna control number , malipo ni cash

Wadau walalamikia uduni wa risiti zinazotolewa kwa waliopima Corona JNIA , yadaiwa hakuna control number , malipo ni cash

Control number zinatolewa uwanjani pale unapofika kuna karatasi unapewa inaconrol number then unalipia kwenye desk ya bank huwezi kupimwa kabla ujapata control number hii nilishuhudia ata wachezaji wasimba waliporudi...ila ngoja wenyewe waje watoe ufafanuzi
 
Back
Top Bottom