Wadau Wote Wa JF, Naomba Ushauri Kuhusu Hayo Maembe Niliyonunua Kama Nimepatia au la!

Wadau Wote Wa JF, Naomba Ushauri Kuhusu Hayo Maembe Niliyonunua Kama Nimepatia au la!

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Amemuomba nimletee sasa kwa kuwa sipendi nimuudhi nawauliza wadau mnisaidie kujua kama nimepatia kwenye manunuzi au la!

Mazingira yanaashiria Itakuwa ni desturi kwa miezi kadhaa hivyo najipanga mapema

Aksanteni sana kwa ushirikiano mtakaonipa

Nawatakia Jumamosi Njema
 

Attachments

  • IMG_20201212_134247_3.jpg
    IMG_20201212_134247_3.jpg
    210.5 KB · Views: 2
  • IMG_20201212_134245_4.jpg
    IMG_20201212_134245_4.jpg
    215.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom