Wadhamini kwenye Soka letu

Wadhamini kwenye Soka letu

Silly

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
569
Reaction score
180
Wakubwa tuna changamoto kubwa ya kupata wadhamini wa timu yetu ya mpira daraja la kwanza (Champions). Aidha waliotangulia kwenye mpira hawakuwa watu sahihi na wamevuruga hali ya hewa kiasi kwamba mpira kwa sasa unaonekana ni ligi kuu tu. Tunatokaje hapa maana kwa kweli khali ni ngumu na kuuza timu sio suluhisho.

Naombeni ushauri wadau
 
Back
Top Bottom