Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Huyo mwenezi atawadhulumu wengi sana kwa zile itikadi za Chama akikorogea zake!Nenda China kamuone mtu anayesimamia Itikadi ya Chama na majukumu yake
Itikadi ndio Injini inayoendesha Chama hivyo kwa sasa Makonda ndiye Dereva wa CCM
Labda nikusaidie, Mwenyekiti anaendesha na Kuongoza Vikao
Katibu ndiye Mtendaji Mkuu wa Chama
Mwenezi ndiye Msimamizi Mkuu wa Ustawi wa Chama
Jumaa kareem 😀
Hafiki mbali!!