Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Huyo mwenezi atawadhulumu wengi sana kwa zile itikadi za Chama akikorogea zake!Nenda China kamuone mtu anayesimamia Itikadi ya Chama na majukumu yake
Itikadi ndio Injini inayoendesha Chama hivyo kwa sasa Makonda ndiye Dereva wa CCM
Labda nikusaidie, Mwenyekiti anaendesha na Kuongoza Vikao
Katibu ndiye Mtendaji Mkuu wa Chama
Mwenezi ndiye Msimamizi Mkuu wa Ustawi wa Chama
Jumaa kareem π
Thubutu... Wenye nafasi ya maamuzi wengi ni STD VIIBaada ya miaka 10 ijayo Diploma, Degree, Masters zitakuwa ni nyingi kuliko la saba, hapo ndiyo nchi itapata maendeleo
Ndiyo maana nimesema baada ya miaka 10 la saba watakuwa wachache siyo nowThubutu... Wenye nafasi ya maamuzi wengi ni STD VII
Tatizo ni mfumo broo hata umleta Isac Newton hatakuwa na jipya, ukisema ukweli unapotezwa, Ndugai pamoja na ujinga wake lakini 2021 mwishoni alianza kusimama na wananchi system ikampoteza mazima chapKwa wasomi we hapa sioni jipya hawana tofauti na wasio wasomi ndo wamefikisha nchi hapo alipo, hamna watu bogus kama the so called wasomi wa nchi, huwezi kuamini kwamba profesa Kabudi ni msomi alie bobea, wakina bashiru, hawana impact yoyote kwenye jamii yetu.
Katiba ya CCM haihusiani na katiba ya nchiTuna katiba ya kijinga sn lazima tuamke
Waliotengeneza katiba ya CCM ndiyo hao hao walitengeneza ya nchiKatiba ya CCM haihusiani na katiba ya nchi
Mkuu, Wewe ni mwana CCM?Waliotengeneza katiba ya CCM ndiyo hao hao walitengeneza ya nchi
Soma historia mkuu utapata ukweli, akina Pius Msekwa ndiyo walioanza kutengeneza katiba ya CCM then waka-copy na ku-paste ya nchi, ilikuwa ni team ya watu 12 kama sikoseiMkuu, Wewe ni mwana CCM?
Maana yangu ni kuwa kwa mfumo huu wa ccm usitegemee mabadiliko...Ndiyo maana nimesema baada ya miaka 10 la saba watakuwa wachache siyo now
Tofautisha kati ya mwenezi na msemaji wa chama. CCM imesha acha njia kuu ya uendeshaji wa Serikali hasa baada ya vyama vingi. Inajaribu kuturudisha kulekule kwenye chama kushika hatamu enzi za Nyerere, na hii ilikolezwa sana kipindi cha jpm.Nenda China kamuone mtu anayesimamia Itikadi ya Chama na majukumu yake
Itikadi ndio Injini inayoendesha Chama hivyo kwa sasa Makonda ndiye Dereva wa CCM
Labda nikusaidie, Mwenyekiti anaendesha na Kuongoza Vikao
Katibu ndiye Mtendaji Mkuu wa Chama
Mwenezi ndiye Msimamizi Mkuu wa Ustawi wa Chama
Jumaa kareem [emoji3]
Unachanganya kazi za Serikali na kazi za chama wewe. Unataka uturudishe kwenye enzi za wanasiasa kwenda kusimamia madaktari hili hali hawajui hata kuchoma sindano, na kina Mrisho Gambo kwenda kufundisha walimu namna ya kufundisha! Siasa na taaluma ni vitu viwili tofauti. Kazi ya mwenezi ni kuimarisha chama na si kusimamia shughuli za Serikali.Mim natumia uelewa sio mahaba na twit za sechai. Unapokuwa mwenez swal unaeneza nini? Jibu ilani.
Ilan ndio mpango kaz wa kukuletea maendeleo wewe unaye twiti. Muenez anaeneza ilan
Jukum lako kwenda kusoma ilan kuona barabar za kijijin kwenu vipi zinafikiwa?
Waziri akitenda Kinyume cha Itikadi atakutana na Rungu la Makonda!Tofautisha kati ya mwenezi na msemaji wa chama. CCM imesha acha njia kuu ya uendeshaji wa Serikali hasa baada ya vyama vingi. Inajaribu kuturudisha kulekule kwenye chama kushika hatamu enzi za Nyerere, na hii ilikolezwa sana kipindi cha jpm.
Katika hali ya kawaida kama utaratibu ulivyo, Makonda hawezi kukemea mawaziri na maRC. Pamoja na kwamba wote ni wanasiasa lakini ni watendaji wa serikali. Msemaji mkuu wa chama ni katibu mkuu na si mwenezi. Ni kujimwambafai tu na kujivika madaraka hasiyokuwa nayo. Lakini, ukiona swala anaringa nyikani ujue boyfriend wake ni Simba. Inawezekana ameanza kwa mikwara kutegemea mgongo wa aliyemuweka pale.
Mkuu watu wana hasira sn nowMaana yangu ni kuwa kwa mfumo huu wa ccm usitegemee mabadiliko...
Na yakijaribu kutokea hao unaohisi ni wasomi watakuwa brainwashed. Na watafanya ya ovyo kuliko hao STD VII!!
NB: There is an elite capture syndrome operating from the statehouse and ccm corridors
RightUnachanganya kazi za Serikali na kazi za chama wewe. Unataka uturudishe kwenye enzi za wanasiasa kwenda kusimamia madaktari hili hali hawajui hata kuchoma sindano, na kina Mrisho Gambo kwenda kufundisha walimu namna ya kufundisha! Siasa na taaluma ni vitu viwili tofauti. Kazi ya mwenezi ni kuimarisha chama na si kusimamia shughuli za Serikali.
Nenda China kamuone mtu anayesimamia Itikadi ya Chama na majukumu yake
Itikadi ndio Injini inayoendesha Chama hivyo kwa sasa Makonda ndiye Dereva wa CCM
Labda nikusaidie, Mwenyekiti anaendesha na Kuongoza Vikao
Katibu ndiye Mtendaji Mkuu wa Chama
Mwenezi ndiye Msimamizi Mkuu wa Ustawi wa Chama
Jumaa kareem π
msalimie sana osman bey na bala hatunKwa mujibu wa Katiba yetu iliyojaa mapungufu na mapengo mengi ambayo hao jamaa niliowataja wakiamua kukupeleka mchaka mchaka utajuta kuzaliwa Tanzania.
DPP au DCI wakiamua kukufutia kesi au kukubambikia kesi ya mchongo wanaweza bila shida yoyote chini ya katiba yetu inayoruhusu watawala kuamua chochote.
Nilikuwa sijui Katibu wa Uenezi & Itikadi Taifa ana nguvu kama DCI, DPP. Ahsante Makonda umenifungua macho na kunitoa tongo tongo la ulevi wa madaraka.
Ngongo kwasasa Uturuki.
Unaposema watu asee tafuta namba kamili... Kati 65M... Je, ni wangapi wana hizo hasira?Mkuu watu wana hasira sn now
Tuishi humu kwanza mkuuUnaposema watu asee tafuta namba kamili... Kati 65M... Je, ni wangapi wana hizo hasira?
This is Tanzania asee... Unaweza kuta wenye hasira hawajai hata kwa Mkapa!