Angeenda kuomba kujitolea kwenye mahospital, hakosi kifuta jasho pale.Eti sio wengi kitaa jamaa ana Nursing and midwife bachelor ya Muhimbili, alimaliza 2019, hana ajira anaendesha toyo
Aliferi = alifeli, collage = college, walifahuru = walifaulu, ata = hata, watahalamu = wataalamu. Unapata wapi ujasiri wa kushauri mambo ya elimu wakati hata kuandika vizuri huwezi? Mwigulu alishasema watu kama nyie mbaki kushauri mambo ya uganga wa kienyeji.Hi wakuu,
Mimi ni mwananchi wa kawaida nimejiajiri maisha yanaenda.
Nakuja na ushauri wenye ushaidi kuonyesha ya kwamba kusoma degree ya ualimu na afya Tanzania, ni kupoteza muda hasa wanaopenda kuajiriwa serikalini.
kwenye ajira za ualimu nina wadogo zangu. Wale wote waliosoma certificate in primary education wote wameajiriwa, Waliitimu (2016 and 2017 )
Dogo langu mmoja aliferi form six hakipata marks za kwenda chuo kikuu, alienda Monduli teachets collage na kisoma diploma in secondary alihitimu 2019, ameajiriwa na serikali.
Sasa kuna watoto wa ndugu zangu wamesoma degreee za ualimu wa sayansi, mmoja kamaliza 2016 na mwingine 2017, wote wapo kitaa wamepauka hawana ajira. Serikali haitaki kuajiri walimu wa science wa degree, wakati ndo walifahuru vizuri.
Sasa baada ya maisha kuwapiga wenye degree imebidi wadogo zao waliosoma certificate na kuajiriwa serikalini wachukue mkopo na kuwapa kaka zao ili wawe ata machinga.
Kwenye afya hivyo hivyo, serikali kama ni nursing inajaza wenye certificate na diploma, wa degree wanabaki kitaa na kipauka.
Wadogo zangu someni certificate na diploma za elimu na Afya kama unataka kupata haraka ajira za serikali.
NB: serikali ya CCM na Samia haitaki watahalamu wenye shahada.
Ukibisha njoo na data
😅😅Hao kila mwaka wanafaulu 20 tuuTo the critical thinkers wakasome uwakili ,wakifuzu kupita pale LST mbona asali imejaa hapa mbele ,Kuna chronic shortage of advocates ,Ila Sasa shida ipo pale chuo ,watakimviza mbususu ,maparty kibao jamaa akitoka chuo hajaiva
Ndo hivyo Sasa ,Ile ndo sieving wale 800 waliofeli waliaribu Hela za wazazi Bure , Ila wale 20 mema ndo yanawangoja , Nina vacancy nne kwangu natafuta mawakili ,najua nafasi nyingi tu sema advocates ndo hamna ,ukiangalia starting salary Kama tax law ,haishuki 3.6M bado marupurupu yapo mengi tu[emoji28][emoji28]Hao kila mwaka wanafaulu 20 tuu
Hela ndefu mno 4mil na zaidi haya vijana wajitoe sadakaNdo hivyo Sasa ,Ile ndo sieving wale 800 waliofeli waliaribu Hela za wazazi Bure , Ila wale 20 mema ndo yanawangoja , Nina vacancy nne kwangu natafuta mawakili ,najua nafasi nyingi tu sema advocates ndo hamna ,ukiangalia starting salary Kama tax law ,haishuki 3.6M bado marupurupu yapo mengi tu
Acha tu Maccm hayana ata action plan ya kutatua tatizoTz inataka kuwa kama Nigeria dah n hatari ss najiuliza inakuwaje mtu anaomba chuo mwaka huu bado akaomba education tena masomo ya arts hii imekaaje si bora mtu asisome tu mana kama n kujiajir huwez somea education useme uje ujiajir bora usomee hata IT, kilimo,ufugaji,uvuvi,veta unaweza jiajir ila sio ualimu jmn dah
Mie mwanakijiji nduguhuo mwandiko daah utakua MEMKWA wewe hadi tittle ya thread umekosea[emoji3][emoji3][emoji3]
nk?Math, physic, nk
Kujitolea?Angeenda kuomba kujitolea kwenye mahospital, hakosi kifuta jasho pale.
Ndo ukweliKuna ukweli maan wengi wanakimbilia huko then ajira wanapewa Certificate na Diploma
HaaaaaTo the critical thinkers wakasome uwakili ,wakifuzu kupita pale LST mbona asali imejaa hapa mbele ,Kuna chronic shortage of advocates ,Ila Sasa shida ipo pale chuo ,watakimviza mbususu ,maparty kibao jamaa akitoka chuo hajaiva
Nje wapiHizo professional mbona zinalipa nje ajira Sio lazima bongo
Mie mwanakijiji sijasoma lugha ngombeAliferi = alifeli, collage = college, walifahuru = walifaulu, ata = hata, watahalamu = wataalamu. Unapata wapi ujasiri wa kushauri mambo ya elimu wakati hata kuandika vizuri huwezi? Mwigulu alishasema watu kama nyie mbaki kushauri mambo ya uganga wa kienyeji.
HaaaaaHela ndefu mno 4mil na zaidi haya vijana wajitoe sadaka
Nenda Veta Mkuu piga kozi yako ya magari, ufundi simu ngazi ya juu au ushonaji wa nguo rudi kitaa fanya mambo kama msomi.Alooo kwahiyo unatushaurije na sisi tuliomaliza form four
Kujitoleaa ni Ufala wa mwisho.Angeenda kuomba kujitolea kwenye mahospital, hakosi kifuta jasho pale.
Wakati huku wanapewa posho, labda huko kwenu ufala au ujakutana na wanaojitolea , baadaye wanapewa ajira za mkataba, labda Kama mpo mbali na hospital za rufaa, we sema ufala wakat ni mbinu ya kuwa karibu, wanapotangaza kwenye ubao kazi wanachukuliwa wale wa ndani.Kujitoleaa ni Ufala wa mwisho.