Waelezee japo kwa ufupi hawa mabwana lemutuz na Mc pilipili

Shukrani mshana wewe ni miongoni mwa watu nawaamini sana hapa jukwaani na ukichangia mjadala ninaoanzisha hapa huwa nafarijika sana
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Wabongo bwana!!
Mc pilipili mbona anapiga kazi fresh tu.

AU ni ushindani Ndio unafanya watu wanapakaziwa mbovu.

Sister P-" Wanapaka tope jina langu achana nao,"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…