Waendesha uchumi ni kina nani?

Waendesha uchumi ni kina nani?

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Merry xmass all jf members
Niseme ukweli. Hili neno waendesha uchumi nimeanza kulisikia wiki hii. Hawa watu ni kina nani? Vigezo gani vinatumika kuwachagua? Mbona sikuwahi kuwasikia awali? Kwa mujibu wa mkurugenzi TRA ni kwamba wanachangia %70 ya mapato ya forodha.

Ningeweza kwenda TRA kuuliza ila pengine majibu yao yadingekuwa na nyama za kutosha. Humu kuna kila jibu na ziada pia
 
Merry xmass all jf members
Niseme ukweli. Hili neno waendesha uchumi nimeanza kulisikia wiki hii. Hawa watu ni kina nani? Vigezo gani vinatumika kuwachagua? Mbona sikuwahi kuwasikia awali? Kwa mujibu wa mkurugenzi TRA ni kwamba wanachangia %70 ya mapato ya forodha.

Ningeweza kwenda TRA kuuliza ila pengine majibu yao yadingekuwa na nyama za kutosha. Humu kuna kila jibu na ziada pia
Bakhresa, MO Dewji, Rostam Aziz, GSM, Rizwan Kikwete, Bopar, Shirima Family, Asas group, etc
 
Na wengine hawa hapa katika lugha ya picha
1000211276.jpg
 
Back
Top Bottom