Wafadhili wakata ufadhili wao BENJAMIN MKAPA FOUNDATION

Wafadhili wakata ufadhili wao BENJAMIN MKAPA FOUNDATION

Nawashukuru sana wakuu, Kizimkazimkuu na Maane, wanatupatia picha kubwa zaidi kuhusu kazi za foundation and the mechanics that exist with various interest groups. Nadhani mkiendelea kutuletea facts hapa basi tutaweza kuelewa vizuri sana hali halisi katika foundation hii.
Ila ninachoshangaa ni kuwa hata Clinton Foundation si wapo Tanzania na walikuwa na mradi wa kupeleka vijana madaktari (interns) kuhudumia wananchi huko mikoani? Sasa kama vile kuna overlao, au hii ni program nyingine?
 
Maane,hiyo chenji ilikuwa inatolewa kwa Drs,nurses,lab tech.....waliomaliza internship tuu.Hakuna mtu aliyekuwa ameajiriwa serikalini akaacha ili ahende BMF,wasinge kubali kwani BMF ilikuwa kuvutia vijana ,ndio maana wakasema work for 3 yrs then get absorbrd into the district.Nia ni kwamba vijana wakimaliza intern wasikimbilie Botswana na baada ya miaka mitatu kwasababu utakuwa around 30s then utakuwa ushaanzisha mradi wa nguruwe na kuku hapo kituoni mwisho unaona bora tu ubaki.

Msabato masalia,
Awali ilichukua staff ambao tayari walikuwa katika ajira. Watu wali apply even from private health facilities na wakatimkia Foundation.

Hata kama baadaye walichukua interns, si vema kwani hao intern walitakiwa waajiriwe serikalini proper kwani serikali imetumia gharama kuwasomesha, wao wazungu walitaka ready made workforce. Nilichotaka walitakiwa basi wa compensate serikali kwa kutoa hata fungu la training of new workforce ambayo ingetumika say in five years and less (kwa viwango vya elimu tz).

Pengine ungekuwa ni mpango mzuri sana kama ungeangalia mahitaji ya pande zote mbili, donors na serikali.

Halafu zote hizi ni duplicate efforts, mara kuna Clinton Foundation na so many of them, na zote almost zina target moja. Wazungu wanatuongezea frustration in many areas. Ni wakati sasa umefika kabla ya kukubali miradi basi pengine tuwe na Independent review ya miradi kabla ya kuikubali.

Kama kweli Foundation haina ufadhili tena, sasa shughuli zake zimeachiwa nani?? Was it only for 3 years?? Huduma zile bado zinahitajika maana HIV/AIDS is still a panndemic. A lot of questions need to be answered here. Kazi kweli kweli.
 
..facts nilizonazo kuhusu BMAF ni kuwa mpaka sasa, Mkapa fellows(madaktari, nurses,etc walioajiriwa chini ya taasisi ya BMF huko wilayani) waliandikiwa baru muda mrefu tu,miezi zaidi ya 4 iliyopita wakitakiwa kujiunga na ajira za halmashauri walizokuwa wanafanyia kazi. Initiqal plan ilikuwa fellows wanapewa contract ya 3 years na BMF, baada ya hapo watakuwa absorbed kwenye govt system,Norway walitoa hela ya 3 years, with a promise ya kutoa more for 7 years folowing evaluation ya mradi. mradi ulianza around June 2006.
Kimahesabu the first three years zinaelekea ukingoni,though kuna batches nyingine kama mbili hivi zilifuata,sasa hapa ndio tunaweza kuanza kujiuliza maswali,ikiwa already watu wanaambiwa waingie halmashauri vipi kuhusu hawa walioajiriwa 2007 na 2008 ambao hawajamaliza contracts zao kulikoni.
Pia ninazo taarifa za kuaminika kutoka kwa fellows kuwa hawajaplekewa hela za ku implement activities for months now.Utaratibu ni kuwa wanapelekewa hela kila miezi mitatu for supervision activities etc
.....nitaendelea kuchangia hasa kumjibu mzalendo halisi ,if this was really an experiment doomed to fail or not?

Huu ndio ukweli halisi wa mradi huo wa Benajamin Mkapa. Niliongea na mtumishi mmoja wa mfuko huo, alitoa maelezo kama yaliyoandikwa hapo juu na kuwekewa msisitizo hapo juu.
 
Back
Top Bottom