Wafadhili wakata ufadhili wao BENJAMIN MKAPA FOUNDATION

Nawashukuru sana wakuu, Kizimkazimkuu na Maane, wanatupatia picha kubwa zaidi kuhusu kazi za foundation and the mechanics that exist with various interest groups. Nadhani mkiendelea kutuletea facts hapa basi tutaweza kuelewa vizuri sana hali halisi katika foundation hii.
Ila ninachoshangaa ni kuwa hata Clinton Foundation si wapo Tanzania na walikuwa na mradi wa kupeleka vijana madaktari (interns) kuhudumia wananchi huko mikoani? Sasa kama vile kuna overlao, au hii ni program nyingine?
 

Msabato masalia,
Awali ilichukua staff ambao tayari walikuwa katika ajira. Watu wali apply even from private health facilities na wakatimkia Foundation.

Hata kama baadaye walichukua interns, si vema kwani hao intern walitakiwa waajiriwe serikalini proper kwani serikali imetumia gharama kuwasomesha, wao wazungu walitaka ready made workforce. Nilichotaka walitakiwa basi wa compensate serikali kwa kutoa hata fungu la training of new workforce ambayo ingetumika say in five years and less (kwa viwango vya elimu tz).

Pengine ungekuwa ni mpango mzuri sana kama ungeangalia mahitaji ya pande zote mbili, donors na serikali.

Halafu zote hizi ni duplicate efforts, mara kuna Clinton Foundation na so many of them, na zote almost zina target moja. Wazungu wanatuongezea frustration in many areas. Ni wakati sasa umefika kabla ya kukubali miradi basi pengine tuwe na Independent review ya miradi kabla ya kuikubali.

Kama kweli Foundation haina ufadhili tena, sasa shughuli zake zimeachiwa nani?? Was it only for 3 years?? Huduma zile bado zinahitajika maana HIV/AIDS is still a panndemic. A lot of questions need to be answered here. Kazi kweli kweli.
 

Huu ndio ukweli halisi wa mradi huo wa Benajamin Mkapa. Niliongea na mtumishi mmoja wa mfuko huo, alitoa maelezo kama yaliyoandikwa hapo juu na kuwekewa msisitizo hapo juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…