..facts nilizonazo kuhusu BMAF ni kuwa mpaka sasa, Mkapa fellows(madaktari, nurses,etc walioajiriwa chini ya taasisi ya BMF huko wilayani) waliandikiwa baru muda mrefu tu,miezi zaidi ya 4 iliyopita wakitakiwa kujiunga na ajira za halmashauri walizokuwa wanafanyia kazi. Initiqal plan ilikuwa fellows wanapewa contract ya 3 years na BMF, baada ya hapo watakuwa absorbed kwenye govt system,Norway walitoa hela ya 3 years, with a promise ya kutoa more for 7 years folowing evaluation ya mradi. mradi ulianza around June 2006.
Kimahesabu the first three years zinaelekea ukingoni,though kuna batches nyingine kama mbili hivi zilifuata,sasa hapa ndio tunaweza kuanza kujiuliza maswali,ikiwa already watu wanaambiwa waingie halmashauri vipi kuhusu hawa walioajiriwa 2007 na 2008 ambao hawajamaliza contracts zao kulikoni.
Pia ninazo taarifa za kuaminika kutoka kwa fellows kuwa hawajaplekewa hela za ku implement activities for months now.Utaratibu ni kuwa wanapelekewa hela kila miezi mitatu for supervision activities etc
.....nitaendelea kuchangia hasa kumjibu mzalendo halisi ,if this was really an experiment doomed to fail or not?