Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Hivi ndo kusema CCM "ya awamu hii" itapora na kukusanya majimbo kwa 98% ama nini?...hata akienda upande mwingine kwa CCM ya awamu hii atashindwa tu!
ccm wamemuonea masele kisa Ndungai hamtaki awe mbunge aende upinzani mungu atamsimamiaHata ningekuwa Mimi, yaani ukatwe kisa uligombama na Ndugai? Hiki ni kigezo Namba ngapi kwenye kanuni za CCM?
Hakuna anayeozea jela kwa ishu ya AcaciaHana jeuri hiyo nakuthibitishia kwa asilimia Mia anakesi mbaya mno tena yenye ushahidi wa kuingiziwa mamilioni ya shilingi kwenye ac yake na aliyekuwa Rais wa Acacia yule anayeozea jela...
Hana jeuri hiyo nakuthibitishia kwa asilimia Mia anakesi mbaya mno tena yenye ushahidi wa kuingiziwa mamilioni ya shilingi kwenye ac yake na aliyekuwa Rais wa Acacia yule anayeozea jela...
Kwahiyo huyo mzee alishindwa kumtandika asiteuliwe bunge la Afrika?Tatizo kubwa la bwana mkubwa na Masele lilianzia 2015 mwezi kama huu pale Masele kwa kushirikiana na Mgeja aliyekuwa M/kiti wa CCM kipindi hicho mkoa wa Shinyanga walipoendesha kampeni ya wana CCM kuwataka wasimdhamini JPM...
Hana kitu yule alikuwa mzigo sana ana liana ya NdejembiMali ya CDM hiyo. Vinginevyo ACT wazalendo tafadhali chukueni hicho kifaa. Shinyanga mjini chagueni chama atakachohamia. Na mpatieni Kura zote za ndiyo
Hawaelewi hao..mbona Deo Mwanyika wa acacia alishatoka jela?
..na baada ya hapo alishinda kura za maoni ktk CCM maeneo ya Njombe.
..ukitaka kufukuza waliokula pesa za makampuni ya madini huko CCM utafukuza viongozi wote.
NB:
..hata Waziri wa Nishati Dr.Kalemani aliwahi kuajiriwa na moja ya makampuni makubwa ya madini.
cc T11
Siyo kwa Shinyanga mjiniAtimkie upinzani halafu akakae benchi ku-support tu wengine au kuna nafasi ya kugombea?
2010 Bashe naye alifanyiwa hivyohivyo,Seleli mshindi wa pili akaachwa pia akateuliwa Kigwangala ambaye alikuwa underdog.
Hii jeuri hufanyika majimbo ambayo watu huchagua CCM siyo mtu.
Katambi aliambulia ngapi 2015 kupitia CDM?Siyo kwa Shinyanga mjini
Toka uhuru Tunduma iko Mbeya mpaka mkoa mpya wa Songwe ulipoanzishwa ndio ikasukumiwa huko.Mtoa mada toka lini tunduma ikawa mbeya?
Tunduma ni jimbo lipo mkoa wa songwe