Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,352
daah!ungejua nimesoma na wakishua wengi st kayumba maana hzo engish medium zimeshka kasi 2002 na kuendelea.nenda zanaki,jangwani nk utaamini by the way kupanga ni kuchagua
wewe utakuwa mtoto wa 90s.....a. mengi,f.lowassa,s.mwinyi, na wengine wengi wamesoma muhimbili primary,forodhani,bunge na tulikuwa tunaenda na fagio[i aint one of them]....je hao sio wa kishua????
umekurupuka!...hawajuzungumziwa wakina mengi mkuu!....macelebrity wengi wa bongo ni wa kuanzia 80s!mimi si wakishua ila kwa umri wangu sijawahi kusoma shule mbaya!
1995 napasua boarder la namanga japo si wa kishua..starehe boys!...msingi ndo muhimu!hiyo ulizozilenga ni secondary
najaribu kukuonyesha kuwa wakishua wengi wamesoma shule na kwenda na fagio....wakishua whether celebrity or not wakishua ndio point yangu......kwenda na fagio haina maana shule mbaya,wakati sisi tunasoma ukiondoa ist upanga/masaki shule bora ni muhimbili,upanga,bunge,forodhani,mlimani na ndio zilikuwa za kishua na UFAGIO LAZIMA,ni utaratibu tu.
PIA B;REAL amezaliwa mnamo mwaka 1976 arusha,baba ake anamiliki bar za gongo na msambazaji mzuri wa bange arusha nzima,amezaliwa matejo baada baba yake kuaza kugushi viroba vya koyangi alifanikiwa kujenga ungalimited mitaa ya olsokoni.
primarry zilikuwa mhimbili,zanaki kisutu upanga na nyingine za uswazi wachache ndo walisoma nje na english medium zilikuwa chache
We kwenye hizo post umeona maneno yangu tu ya kashfa hayo yake hukuyaona au kwavile sikuwa nayajibu na kuconcentrate kwenye moja tu la topic sio hayo binafsi.
Gk sio wa kishua muda mwingi anaishi na mama yake ambae maisha yake yote alikua mwalimu wa sekondari mpaka alipopewa ubunge na chadema. Msikariri kuish upanga ndio mambo safi.hao kina ay, buff g, snare na fa wote ndio walewale sema wao wazazo wao waliuza sijui walipangisha nyumba zao hivyo wakawa sio wazawa tena wa upanga
Kuna celeb wa kishua town hii kumzidi prodyuza Lindu??...
Umemaliza
Na mpaka sasa hivi wapo mbali Jokate DC,VMoney yupo na Udadafaundation yake nilimsikia akiojiwa na Metro FM ya South Africa kwa Kingereza akijiachia kama mzungu tena kingereza kile cha ndani na sio cha kungaunga,kumbe naye wa Kishua.Jamani binamu mi hoi kwa jokate na vmoney
List haina hii ni mashaka matupu JuxDuh! Kumbe ka'wema ka mwaka 88 alafu umemsahau king crazy gk nae si mtoto wa kishua? Au tulikalilishwa?
Mmmh unawahi wapi au black 20 kakuchanganya?Za mani washua walikaa obey, upanga , Masai. Badala ya serialized kuuza nyumba sake siku hivi familia za Keisha zina ishi wapi..