Wafahamu Celebrities waliotoka familia bora

Angewapiga marufuku hizo team zake kutukana watu hovyo, maana hizo team ndo chanzo, naona jipange kawa mpole leo , huyo aliyetengeneza hizo picha kawaweza
maana hizo team zinatoa maneno ya ajabu we zinawaumiza wanaosemwa sa wenzao ndo wanalipua mabomu makubwa ka hayo.
 
maana hizo team zinatoa maneno ya ajabu we zinawaumiza wanaosemwa sa wenzao ndo wanalipua mabomu makubwa ka hayo.

Dah ila huyu kapinda na wala sio mtu mzur, mpaka madame kakubali wamemuweza dah, tatizo wema anaziabudu sana team zake, kipindi kile walivyopatana na kajala team yake ikanuna wema akasema wala hajapatana nae bali ni zuga tu, asipoangalia ndo kama haya sasa yamemkuta na timu yake
 
Kylin yah ila huyu mpepa kistuli ni ujanja tu wa town ila sio wakishua wala nn kawaida tu... Bila kusahau marehemu Langa R.I.P na Shaa pia hawa kwao tangu zile enzi za Coca popstars walitembelewa kwao mambo si haba ni watoto wa mikocheni na Obey

Penny na yeye sio wa kishua ??
 
Ok, ivi umesikia umbea binamu wa uko insta?? Naona team wema wana msiba leo, nasikia kuna mtu kapost picha ya mama wema akiwa uchiii wa mnyama kipwapwiso chote nje, sasa haijajulikana ni kweli au editing

nimesikia yaani aibu tupu!
 
pia umemsahau fita lutonja mwana wa simbitti huyu ni mtoto wa kishua kweli, baba yake ni big business man pale yorkshire uingereza na mama yake prof. Prisca alikuwa lecturer wa midlander university [uk] dada yake suzy alikuwa senetor wa jimbo la dallas(USA). Yeye Fita anamkwanja wa kufa mtu na kwa sasa yuko USA anashughurikia NGO yake ya TVEDN.
 
Nakubaliana na wewe....alinifundisha General studies,Tambaza

Alikuwa ni lecturer akifundisha business language pale CBE! Huko tambaza labda ilikuwa ni part time!
 
Nimewasoma. Nasikia na 20 pacent nae wa kishua japo anatokea chamanzi?
 
Kwa hoja hizi dhaifu kila moja atajiita mtoto wa kishua tu kisa home Chole road au Drive inn na kusoma au kusomea Abroad. Sijaelewa bado vigezo vitumikavyo.
 
Lol nilikua sijui kama kukaa Upanga kwenye nyumba za msajili unakuwa wa kishua...watu tuko huku nje ya mji full Upepo
 
Hapa wanaongelea selebriti. Kuwa na fedha tu sio kigezo cha kuingia kwenye hii list.
 
Lol nilikua sijui kama kukaa Upanga kwenye nyumba za msajili unakuwa wa kishua...watu tuko huku nje ya mji full Upepo View attachment 166394

Huo utajiri wa ukubwani na nyumba za kujenga kwa mikopo ya faidika hatuizungumzii humu. Tunaowazungumzia ni wale tsngu wanazaliwa hawajui kams miguu ya kuku na utumbo kule tandale ni mboga.
 
we mjasiria nin maana ya celebrity? fita lutonja mwana wa simbitti ni bonge la celebrity not ony tz but also internatinally kama unabisha muulize obama anamujua vizur sana. Kijana fita ni mtoto wa kishua sana tu
 
Crazy GK nae mtoto wa upanga - akina FA walikuwa wanapewa hifadhi nao wakajiita wakishua Baba ake alikuwa kigogo na mama ake ni mbunge wa viti maalum Chadema. AY nae alikuwa wakishua babake alikuwa kigogo pia serikalini

Acha kutengeneza uongo...Gk anakaa upanga ila sio wa kishua,mamake ni mwalimu...AY ndio choka vibaya mamake yupo Rockgarden Morogoro,sidhani kama ata alishawahi kumuona babake,babake alimkataa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…