Wafahamu mabilionea walioanza maisha na 'kazi za ajabu'

Wafahamu mabilionea walioanza maisha na 'kazi za ajabu'

Elon Musk, ndio nambari moja saivi inaonekana hili desa umekopi na kupesti. Nenda karudie kusoma. Alafu pia Elon Musk ni Msouth Africa, wazazi wake na kaka yake ndio waliomsaidia mpaka amefika hapo. Nenda karudie kusoma. Alafu Elon ni msomi pia na anaakili nyingi.
Amehitimu na bachelor mbili kwa mkupuo, wewe ungeweza, na huo uvivu???
 
Elon Musk, ndio nambari moja saivi inaonekana hili desa umekopi na kupesti. Nenda karudie kusoma. Alafu pia Elon Musk ni Msouth Africa, wazazi wake na kaka yake ndio waliomsaidia mpaka amefika hapo. Nenda karudie kusoma. Alafu Elon ni msomi pia na anaakili nyingi.
Amehitimu na bachelor mbili kwa mkupuo, wewe ungeweza, na huo uvivu???
hii sio list ya mabilionea wanaoongoza duniani rejea kichwa cha habar
 
Back
Top Bottom