Wafahamu macelebrity wa JF na sifa zao

Mchawi Mstaafu Mshana Jr ni kiboko jamaa anajua mambo mengi kwenye angle mbalimbali. JF walikosea sana kutomrecognize Mshana wakampa tuzo yule mzanzibari na maamuma Mohammedi.
natamani siku 1 ID zetu fame ziwe wazi ili nimjue Kiranga ni nani maana sio kwa ubishi ule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…