joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Ka mwambie baba yako au mama yako mzazi mpumbavu alafu ndio utaojua ni neno zuri au baya,hebu onyesha nilipobishana na mungu katika thread yangu.ZABURI 14:1
1 Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema."
Biblia inanena matusi?
Kwa ukomo wa akili zako neno mpumbavu ni tusi?
Endelea kubishana na vielelezo toka ktk Biblia maana Mungu ndiye akujuaye jnc gani unahitaji neema na rehema zake ili ujitambue.
Ka mwambie baba yako au mama yako mzazi mpumbavu alafu ndio utaojua ni neno zuri au baya,hebu onyesha nilipobishana na mungu katika thread yangu.
Wewe kwako si unaona MPUMBAVU neno zuri,sasa nenda kamwambie baba yako au mama yako mzazi MPUMBAVU,unajifanya mtu wa Mungu lakini huna ustaarabu.Bado akili zako zinazidi kuthibitisha jnc gani hazina akili, Wazazi wanahusika vp ktk huu uzi, au wewe ulijigegeda mwenyewe na kujiumba mwenyewe?
"udesi" ndeliwe myanguWengine utasikia ustaadhi this ustaadhi that ..... mtupu!!
Wote walozi tu
Wewe kwako si unaona MPUMBAVU neno zuri,sasa nenda kamwambie baba yako au mama yako mzazi MPUMBAVU,unajifanya mtu wa Mungu lakini huna ustaarabu.
Eti udesi😂😂😂🙌.Wengine utasikia ustaadhi this ustaadhi that .....udesi mtupu!!
Wote walozi tu
Sehemu gani niliyo eleza uwongo,najua unajitoa ufahamu lakini maana ya MPUMBAVU unaijua.Usataarabu ni kutokumweleza Mtu uwongo, endelea kuhusisha Wazazi ktk huu uzi maana ww hukutokana na wazazi labda ulijiumba mwenyewe tu.
Note. Vise versa is true on behalf of the parents, so just proceed to talk about parents Mr[emoji23]
Sehemu gani niliyo eleza uwongo,najua unajitoa ufahamu lakini maana ya MPUMBAVU unaijua.
shule umemaliza lini? Haya mambo huwezi kuyajua kama unakaa kwa baba!Hakuna uchawi wala nini, kipaji tu.
Kuamini huu ujinga ni moja ya sababu wabongo wengi maskini hamuendelei mnakaa mnawaza uchawi tu, ushawahi ona mchawi tajiri?
Stop this nonsense kafanyeni kazi
Kuna sehemu nimesema Freemason hawafanyi kazi ?Hebu nionyeshee wewe,sometimes hata kwenye mtihani unaweza kufeli kwa kutokuelewa kichwa cha habari,hebu soma uelewe nilichoandika na si kukurupuka.Kwanini ukatae kuwa Freemasons hawafanyi kazi[emoji848][emoji28]
Hamna sehemu niliyosema freemasoni hawafanyi kazi,ila nimetoa ushauri .fanyeni kazi kwa bidii na nikasisitiza kwa mistari miwili Yesu mwenyewe alisema ombeni mtapewa ,tafuteni mtapata."Halafu huu upuuzi kila kitu Freemasons & Fanyeni kazi"
Inamaana hao ma-freemason hawafanyi kazi?
Mtoa mada kasema Mastaa wote wanatumia ushirikina au kataja baadhi?
Una uhakika gani kwa waliotajwa hawahusiki kwa kutumia ushirikina ktk kupata mafanikio yao?
Shetani hakumjaribu Yesu ikiwa atajirusha chini toka kileleni alipokuwa pale jangwani kuwa atampatia mali, milki za kifahari na utajiri wa dunia hii, kwanini usikubaliane na mtoa mada sasa kwa vielelezo nilivyokupatia ss?
udesi mtupu
We mbwa mwana haramu, usinizoee umesikia? Ntakuchamba mpaka uchanganyikiwe, achana na Mimi , naona unajipendekeza sana , Mimi sio type yako , kauze uchi wako huko , yani Tena iwe mwanzo na mwisho , naona unatafuta kiki kwa nguvu , ntakuchamba mpka utembee uchi barabaran
Mwalimu mmoja aliwatoa wanafunzi wake wa chekechea nje..
Mwalimu :angalieni juu mnaona nini??
Wanafunzi :mawinguu
Mwalimu :je kingine? Hamuoni??
wanafunzi :hakunaaa
Ghafla mwanafunzi mmoja akasema. Samahani mwalimu nna swali.
Mwalimu :uliza tuu (huku katabasamu)
Yule akawageukia wanafunzi wenzake na kuwauliza.
Mwanafunzi :jamani angalieni kwenye kichwa cha mwalimu mnaona nini??
Wanafunzi :nyweleee
Mwanafunzi :kingine??
Wanafunzi :hakunaaa
Mwanafunzi : je mnaiona akili yake mwalimu?
Wanafunzi :hatuionii
Mwanafunzi :mimi kila siku nawaambiaga huyu mwalimu hana akili!.
Ile shule ilifungwa siku hiyo hiyo
TawireeeImekugusa eeeeh! Pole, Nikuzoe kwa lipi? Unanisaidia nn? Chambaa nikione hicho kichambo chako choko weee! Usinitishe nakuona fala tu, una nn ww? Mpaka ujilinganishe na mm, au una kunya keki unakojoa Juisi?
Nafanya kazi ya halali si muuza uchi, kazi kwako kauze kundu huko. Natafuta kiki kwa ID fake!
Chambaaaàa nataka ntembee uchi[emoji19]
Naenda kuweka simu chaji baadae ntarudi.
Zari alikua mke wa mganga, Ana uzoefu wa kuponda mavumba
Mke wa mganga tena, lazima ujue kupika na chai ya wateja na kuwafungia dawa wakiaga.Hahaaa....umenikumbusha utamu!!!
Alikua anacheza na nyungu za kisouth[emoji3][emoji16][emoji3][emoji3]
HAKUNA MSANII ASIYEROGA. Yaani hakuna kabisa? Hii haiwezekani