Wafahamu Mastaa wanaotumia nguvu za Giza / ushirikina

Wafahamu Mastaa wanaotumia nguvu za Giza / ushirikina

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Wanazengo mmezidi kulalamika, mnaletewa umbea badala ya kusikiliza tu mkapita mnaanza midomo kushindana na Mimi , hivi mnajua connection yangu ? , mnanijua vizur? , nyie shukuruni tu nipo humu nawapa umbea siku zinaenda, siku nikipotea humu mtalia na kusaga Meno, maana najua mnavyopenda umbea kuliko kula , mnajua na risk sana maisha yangu kujitoa kafara kuanika mambo ya watu halafu nyie mnakuja midomo juu juu kama nyuchi za bundi mxiee , mnaniudhi mbwa nyie mjue? Yan Tena mkome kuanzia Leo , eti mnajifanya mnanichamba mbwa nyie wakati umbea tu ndo umewajaa, Leo nawapa onyo mbwa nyie mnikome mxieww


Turudi kwenye mada wale mnaopenda umbea na kusoma kimya kimya bila comment za karaha, ifuatayo chini ni list ya mastaa wanaotumia nguvu za giza/uchawi /freemason katika kazi zao , mji mzito huu , duniani kuna mambo nyie acheni tu , list inastaajabisha lakini Ndo ukweli usiopingika, wengine sitawataja maana mpaka mikono inatetemeka kuandika

1. alikiba
2. Diamond Platnum
3 . Irene uwoya
4. Anthony lusekelo
5. Mama rwakatale
6. Muna love
7. Lulu Michael
8. ....
9.....
10....
 
Freemasons au kwenda kwa waganga?

Hebu liweke vzr hapo!

Nkuambie kitu hakuna msanii asiyeroga Tanzania hii...kuanzia Hip hop mpk kingwendu!!

Sisemi mengi ngoja ninyamaze ila mwaka Jana niliyajua mengi jamani siaminiii!!!kabisaa
 
Nime screen shot uzi huu najua utafutwa na wewe lazima ule [emoji91]

We mbwa mwana haramu, usinizoee umesikia? Ntakuchamba mpaka uchanganyikiwe, achana na Mimi , naona unajipendekeza sana , Mimi sio type yako , kauze uchi wako huko , yani Tena iwe mwanzo na mwisho , naona unatafuta kiki kwa nguvu , ntakuchamba mpka utembee uchi barabaran
 
Kuna freemason na wapiga matunguli sasa wewe hapo umewachanganya wote freemason nawaona wawili tu hapo
 
Jackline wolper si alisema yupo freemason?
Harmonize mnuachaje yupo freemason inajulikana.

List iendelee.
 
Mentality za kimasikini hizi,hao uliowataja ni wakati wao kung'aa ila wakati wao ukiisha watakuja wengine ila kwa sasa ni wakati wao.Juma nature aliambiwa mchawi na mama yake ndiye anayemfundisha (refer Kalapina) baada ya kuujaza ukumbi wa Diamond mara mbili wakati akizindua album ya Ugali na Historia,leo Nature yupo wapi.
 
Back
Top Bottom