Wafahamu Mastaa wanaotumia nguvu za Giza / ushirikina

Wafahamu Mastaa wanaotumia nguvu za Giza / ushirikina

Binamu basi kama ni hivyo hata pierre nae anatumia[emoji2][emoji2]
Wanazengo mmezidi kulalamika, mnaletewa umbea badala ya kusikiliza tu mkapita mnaanza midomo kushindana na Mimi , hivi mnajua connection yangu ? , mnanijua vizur? , nyie shukuruni tu nipo humu nawapa umbea siku zinaenda, siku nikipotea humu mtalia na kusaga Meno, maana najua mnavyopenda umbea kuliko kula , mnajua na risk sana maisha yangu kujitoa kafara kuanika mambo ya watu halafu nyie mnakuja midomo juu juu kama nyuchi za bundi mxiee , mnaniudhi mbwa nyie mjue? Yan Tena mkome kuanzia Leo , eti mnajifanya mnanichamba mbwa nyie wakati umbea tu ndo umewajaa, Leo nawapa onyo mbwa nyie mnikome mxieww


Turudi kwenye mada wale mnaopenda umbea na kusoma kimya kimya bila comment za karaha, ifuatayo chini ni list ya mastaa wanaotumia nguvu za giza/uchawi /freemason katika kazi zao , mji mzito huu , duniani kuna mambo nyie acheni tu , list inastaajabisha lakini Ndo ukweli usiopingika, wengine sitawataja maana mpaka mikono inatetemeka kuandika

1. alikiba
2. Diamond Platnum
3 . Irene uwoya
4. Anthony lusekelo
5. Mama rwakatale
6. Muna love
7. Lulu Michael
8. ....
9.....
10....
 
Mwalimu mmoja aliwatoa wanafunzi wake wa chekechea nje..
Mwalimu :angalieni juu mnaona nini??

Wanafunzi :mawinguu

Mwalimu :je kingine? Hamuoni??

wanafunzi :hakunaaa
Ghafla mwanafunzi mmoja akasema. Samahani mwalimu nna swali.

Mwalimu :uliza tuu (huku katabasamu)
Yule akawageukia wanafunzi wenzake na kuwauliza.

Mwanafunzi :jamani angalieni kwenye kichwa cha mwalimu mnaona nini??

Wanafunzi :nyweleee

Mwanafunzi :kingine??
Wanafunzi :hakunaaa

Mwanafunzi : je mnaiona akili yake mwalimu?

Wanafunzi :hatuionii

Mwanafunzi :mimi kila siku nawaambiaga huyu mwalimu hana akili!.

Ile shule ilifungwa siku hiyo hiyo
 
Mentality za kimasikini hizi,hao uliowataja ni wakati wao kung'aa ila wakati wao ukiisha watakuja wengine ila kwa sasa ni wakati wao.Juma nature aliambiwa mchawi na mama yake ndiye anayemfundisha (refer Kalapina) baada ya kuujaza ukumbi wa Diamond mara mbili wakati akizindua album ya Ugali na Historia,leo Nature yupo wapi.
Comrade Freemasons really exist, they have a vital influence in modern music industry, politics, economy, social life.

In the music industry, Take Michael Jackson as example, you don't know what tragedy he ended up meeting? Kanumba's mysterious death just being pushed by such a limp girl and died? What was the intention of revealing brotherhood secrets to his last Movie?( Devil's Kingdom), Michael Jackson Did the same on his last song -" This is it."
 
HAKUNA MSANII ASIYEROGA. Yaani hakuna kabisa? Hii haiwezekani
Freemasons au kwenda kwa waganga?

Hebu liweke vzr hapo!

Nkuambie kitu hakuna msanii asiyeroga Tanzania hii...kuanzia Hip hop mpk kingwendu!!

Sisemi mengi ngoja ninyamaze ila mwaka Jana niliyajua mengi jamani siaminiii!!!kabisaa
 
Freemasons, wachawi, washirikina, wanga, waganga wa kienyeji, mapepo, mizimu, majini wote ni wakala wakuu wa shetani/lucifer.

Sawa na TTCL, VODACOME, TIGO, AIRTEL, HALOTEL NA ZANTEL ni aina tofauti za kampuni lkn zinahusika kwa 100% kuleta mawasiliano kwa njia za simu za mezani na mikononi.
Freemasons au kwenda kwa waganga?

Hebu liweke vzr hapo!

Nkuambie kitu hakuna msanii asiyeroga Tanzania hii...kuanzia Hip hop mpk kingwendu!!

Sisemi mengi ngoja ninyamaze ila mwaka Jana niliyajua mengi jamani siaminiii!!!kabisaa
 
Comrade Freemasons really exist, they have a vital influence in modern music industry, politics, economy, social life.

In the music industry, Take Michael Jackson as example, you don't know what tragedy he ended up meeting? Kanumba's mysterious death just being pushed by such a limp girl and died? What was the intention of revealing brotherhood secrets to his last Movie?( Devil's Kingdom), Michael Jackson Did the same on his last song -" This is it."
Nimeangalia video za freemason,Bone and skull na imani zote za kiilluminat nimeona upuuzi ,kila mtu aliyefanikiwa freemason,kwa hiyo ina maana Mungu hawezi kumfanya mtu akafanikiwa.sometimes unaweza kukufuru kwa maneno yako mwenyewe .

Alafu pili "hivi wewe mara ya mwisho kusoma Msaafu au Biblia ni lini ?",huoni kusoma vitabu vya kiimani kuna kusogeza karibu na Mungu na kujua mazuri ya Mungu kuliko kusoma na kutizama series hizi za Illuminat,maanake wanaweza siku wakakuvutia sababu kuona na kutizama ni moja ya mlango wa fahamu na ndio maana tukiowaona wanawake wazuri tunawatamani.

Alafu huu upuuzi kila kitu freemason,ila kaa ukijua ile style ya kukata gogo huku umechuchumaa ni style ya freemason wakiwa wanaapa,sasa sijui ukienda kukata gogo utasimama.Fanyeni kazi mafanikio ya binadamu yoyote yapo katika mistali hii "Ombeni mtapewa ,tafuteni (jitumeni,fanyeni kazi kwa bidi) mtapata ",hata siku moja huwezi omba mkate kwa Mungu ukapewa jiwe.

Japokuwa wapo wanaopata mali kwa njia ya ushirikina,lakini si kama mnavyofikiri nyinyi.alafu Mungu ni wa wote anawapa wema na wabaya,sababu wote tumetoka kwake.
 
Namba 4.na 5 kwa ni wasanii?mbona unatuchanganyia ma file mkubwa
 
Wanazengo mmezidi kulalamika, mnaletewa umbea badala ya kusikiliza tu mkapita mnaanza midomo kushindana na Mimi , hivi mnajua connection yangu ? , mnanijua vizur? , nyie shukuruni tu nipo humu nawapa umbea siku zinaenda, siku nikipotea humu mtalia na kusaga Meno, maana najua mnavyopenda umbea kuliko kula , mnajua na risk sana maisha yangu kujitoa kafara kuanika mambo ya watu halafu nyie mnakuja midomo juu juu kama nyuchi za bundi mxiee , mnaniudhi mbwa nyie mjue? Yan Tena mkome kuanzia Leo , eti mnajifanya mnanichamba mbwa nyie wakati umbea tu ndo umewajaa, Leo nawapa onyo mbwa nyie mnikome mxieww


Turudi kwenye mada wale mnaopenda umbea na kusoma kimya kimya bila comment za karaha, ifuatayo chini ni list ya mastaa wanaotumia nguvu za giza/uchawi /freemason katika kazi zao , mji mzito huu , duniani kuna mambo nyie acheni tu , list inastaajabisha lakini Ndo ukweli usiopingika, wengine sitawataja maana mpaka mikono inatetemeka kuandika

1. alikiba
2. Diamond Platnum
3 . Irene uwoya
4. Anthony lusekelo
5. Mama rwakatale
6. Muna love
7. Lulu Michael
8. ....
9.....
10....
Unajua leo
 
Hakuna uchawi wala nini, kipaji tu.
Kuamini huu ujinga ni moja ya sababu wabongo wengi maskini hamuendelei mnakaa mnawaza uchawi tu, ushawahi ona mchawi tajiri?
Stop this nonsense kafanyeni kazi
Mfalme Farao alikuwa na umaskini gani?

Hakuita waganga, wachawi wamsaidie kujibizana mapigo ya Mungu aliyokuwa akiyapata kupitia Nabii Musa ili awaache wana wa Israeli watoke Misri kwenda Kanani[emoji848][emoji57]

Hupaswi kuuamini uchawi kuwa una nafasi kukushindia changamoto yoyote ktk maisha yako lkn uchawi upo kumuwakilisha shetani.
 
Kuna freemason na wapiga matunguli sasa wewe hapo umewachanganya wote freemason nawaona wawili tu hapo
Freemasons, wachawi, washirikina, wanga, waganga wa kienyeji, mapepo, mizimu, majini wote ni wakala wakuu wa shetani/lucifer.

Sawa na TTCL, VODACOME, TIGO, AIRTEL, HALOTEL NA ZANTEL ni aina tofauti za kampuni lkn zinahusika kwa 100% kuleta mawasiliano kwa njia za simu za mezani na mikononi.
 
Comrade Freemasons really exist, they have a vital influence in modern music industry, politics, economy, social life.

In the music industry, Take Michael Jackson as example, you don't know what tragedy he ended up meeting? Kanumba's mysterious death just being pushed by such a limp girl and died? What was the intention of revealing brotherhood secrets to his last Movie?( Devil's Kingdom), Michael Jackson Did the same on his last song -" This is it."
Thanks for your comments to be realistically.
 
Unajua unaandika kama kale kashoga kanajiitaga ka ray bayb....

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Nimeangalia video za freemason,Bone and skull na imani zote za kiilluminat nimeona upuuzi ,kila mtu aliyefanikiwa freemason,kwa hiyo ina maana Mungu hawezi kumfanya mtu akafanikiwa.sometimes unaweza kukufuru kwa maneno yako mwenyewe .

Alafu pili "hivi wewe mara ya mwisho kusoma Msaafu au Biblia ni lini ?",huoni kusoma vitabu vya kiimani kuna kusogeza karibu na Mungu na kujua mazuri ya Mungu kuliko kusoma na kutizama series hizi za Illuminat,maanake wanaweza siku wakakuvutia sababu kuona na kutizama ni moja ya mlango wa fahamu na ndio maana tukiowaona wanawake wazuri tunawatamani.

Alafu huu upuuzi kila kitu freemason,ila kaa ukijua ile style ya kukata gogo huku umechuchumaa ni style ya freemason wakiwa wanaapa,sasa sijui ukienda kukata gogo utasimama.Fanyeni kazi mafanikio ya binadamu yoyote yapo katika mistali hii "Ombeni mtapewa ,tafuteni (jitumeni,fanyeni kazi kwa bidi) mtapata ",hata siku moja huwezi omba mkate kwa Mungu ukapewa jiwe.Japokuwa wapo wanaopata mali kwa njia ya ushirikina,lakini si kama mnavyofikiri nyinyi.alafu Mungu ni wa wote anawapa wema na wabaya,sababu wote tumetoka kwake.
We ni mpumbavu usiyeelimika hadi dunia ifikie ukomo wake.

Nani kakudanganya ukiwa Freemasons hufanyi kazi na kujikalia tu kama sanamu?

Kama unapokataa kuwa hakuna uchawi, freemasons, waganga wa kienyeji, washirikina, wanga, mapepo, mizimu na majini utathibitishaje kazi za shetani zinafanyika hapa duniani kupitia hao mawakala wake?

Au unapokataa hakuna Malaika, Roho Mtakatifu, Yesu utaaminije kazi zake Mungu ktk uwepo wake?

Shetani yupo na anafanya kazi kupitia Watu hawa hawa sababu ni Roho Mchafu anaweza kuingia popote ambapo Mtu yu hai.

Unapokataa hayo yote ni sawa na kumfanya Mungu ni mwongo maana ndiye aliyeumba viumbe vyote(vinavyoonekana na visivyoonekana) lkn haupaswi kuuamini uchawi kuwa msaada na wokovu wako ktk maisha yako zaidi ya Mungu pekee.
 
We ni mpumbavu usiyeelimika hadi dunia ifikie ukomo wake.

Nani kakudanganya ukiwa Freemasons hufanyi kazi na kujikalia tu kama sanamu?

Kama unapokataa kuwa hakuna uchawi, freemasons, waganga wa kienyeji, washirikina, wanga, mapepo, mizimu na majini utathibitishaje kazi za shetani zinafanyika hapa duniani kupitia hao mawakala wake?

Au unapokataa hakuna Malaika, Roho Mtakatifu, Yesu utaaminije kazi zake Mungu ktk uwepo wake?

Shetani yupo na anafanya kazi kupitia Watu hawa hawa sababu ni Roho Mchafu anaweza kuingia popote ambapo Mtu yu hai.

Unapokataa hayo yote ni sawa na kumfanya Mungu ni mwongo maana ndiye aliyeumba viumbe vyote(vinavyoonekana na visivyoonekana) lkn haupaswi kuuamini uchawi kuwa msaada na wokovu wako ktk maisha yako zaidi ya Mungu pekee.
We ndiye MPUMBAVU ,umekurupuka hata hukusoma vizuri nilichokiandika,vitu vyote ulivyoviandika wewe hapa mimi nimefupisha kwa mstari mmoja wa mwisho,sawa wewe MPUMBAVU,usiniletee UPUMBAVU wako kwani mimi matusi nayajua ila JF sio mahala pake,umenisikia wewe MPUMBAVU.
 
Mfalme Farao alikuwa na umaskini gani?

Hakuita waganga, wachawi wamsaidie kujibizana mapigo ya Mungu aliyokuwa akiyapata kupitia Nabii Musa ili awaache wana wa Israeli watoke Misri kwenda Kanani[emoji848][emoji57]

Hupaswi kuuamini uchawi kuwa una nafasi kukushindia changamoto yoyote ktk maisha yako lkn uchawi upo kumuwakilisha shetani.
Hehe we ushawahi ona uchawi au unaongea tu?
Hakuna kitu kama Farao kujibizana na mungu, kwanza mungu hayupo ni story tu.
 
We ndiye MPUMBAVU ,umekurupuka hata hukusoma vizuri nilichokiandika,vitu vyote ulivyoviandika wewe hapa mimi nimefupisha kwa mstari mmoja wa mwisho,sawa wewe MPUMBAVU,usiniletee UPUMBAVU wako kwani mimi matusi nayajua ila JF sio mahala pake,umenisikia wewe MPUMBAVU.
ZABURI 14:1

1 Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema."

Biblia inanena matusi?

Kwa ukomo wa akili zako neno mpumbavu ni tusi?

Endelea kubishana na vielelezo toka ktk Biblia maana Mungu ndiye akujuaye jnc gani unahitaji neema na rehema zake ili ujitambue.
 
Back
Top Bottom