Wafahamu Mawaziri na Manaibu ‘waliotemwa’ na Rais Magufuli katika Baraza jipya la Mawaziri

Ila Kigwa ana kiherehere sana nadhani JPM hakuona utendaji mzuri wowote kwa Kigwa zaidi ya kuwa mwanamitindo wa Insta na Twitter tu.. Kigwa kuachwa mie nimeona sahihi kabisa..
 
Arudi kwa wazee wakamuulizie kwa mizimu ya kwao kwamba ni wapi alikoteleza
 
 
Huyu na bashe wote chali
Dini zao pia zimewaponza
Bashe mbona karudi kwenye unaibu wake?

Makamu wa rais na waziri mkuu mbona Waislamu? Hoja yako ni ipi?

Kigwangala bado utoto mwingi sana. Watu wanapambana kwenye kampeni yeye yuko bize anahangaika kwenye mitandao kugombana na matajiri kisa kanyimwa mkopo wa bodaboda.

All in all ni tajiri tayari na amejenga chuo (+hospitali) kizuri sana huko kwao. He is set for life...
 
Labda jiwe linataka kuwapa kazi nyingine,nashangaa mpaka li mpina chalii.
Na lilikuwa linachapa job poa tu.
 
Safari hii hajaua MTOTO!! Namsisitiza Mh Kigwa aachane na dhana za kutoa kafara ili nyota yake ing'ae!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…