Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Kwa kijana kama wewe uliyezaliwa miaka ya 2002 huwezi kujua kuwa hata Mwl JKN alilaumiwa kuwa ni mkatoliki.Hii ishu vpofu wa akili huwa wanajifanya kutoiona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kijana kama wewe uliyezaliwa miaka ya 2002 huwezi kujua kuwa hata Mwl JKN alilaumiwa kuwa ni mkatoliki.Hii ishu vpofu wa akili huwa wanajifanya kutoiona
BASHE ni naibuHuyu na bashe wote chali
Dini zao pia zimewaponza
Nahic alipapachua, maana alikuwa mpole sana kujibu.au ule moto Kilimanjaro Mt umemuharibia!??
Pascal Njaa waliokaribu nae wamwangalie sana asije akajinyonga .Pia msaka uteuzi Mheshimiwa Pascal Mayalla, yaani kawekwa huko kando kabisa, hebu ngoja tuone nafasi za watendaji wa vijiji zikitoka huenda akakumbukwa
Arudi kwa wazee wakamuulizie kwa mizimu ya kwao kwamba ni wapi alikotelezaHakuchapa kazi inavyostahili? Mbona alikuwa anaonekana mchapa kazi!
Alikuwa na kiburi? Maana Waziri Mkuu alimuonya aache kupoteza muda mwingi Twitter na Fb lakini akawa na kiburi, muda mwingi anajibishana na wapuuzi wa Twitter.
Au mkuu wa kaya amempa nafasi ajiandae kuwa mwanamitindo wa Twitter na FbView attachment 1642501
Sikuwahi kuelewa anafanya nini1. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza
Alimsumbua dk MwakaMalipo ni hapa hapa
We mwanamke una akili mingi sana i love youKazi maalum.Kuondoa ukomo .
Hakuchapa kazi inavyostahili? Mbona alikuwa anaonekana mchapa kazi!
Alikuwa na kiburi? Maana Waziri Mkuu alimuonya aache kupoteza muda mwingi Twitter na Fb lakini akawa na kiburi, muda mwingi anajibishana na wapuuzi wa Twitter.
Au mkuu wa kaya amempa nafasi ajiandae kuwa mwanamitindo wa Twitter na FbView attachment 1642501
Bashe mbona karudi kwenye unaibu wake?Huyu na bashe wote chali
Dini zao pia zimewaponza
Raha ya balimi uzinywe polepole afu zikiwa baridi.We
We kahaba mbona unawashwa sana makalio? Hauna contact za Lissu akutafutie bwana Belgium?
Labda jiwe linataka kuwapa kazi nyingine,nashangaa mpaka li mpina chalii.Bashe mbona karudi kwenye unaibu wake?
Kigwangala bado utoto mwingi sana. Watu wanapambana kwenye kampeni yeye yuko bize anahangaika kwenye mitandao kugombana na matajiri kisa kanyimwa mkopo wa bodaboda.
All in all ni tajiri tayari na amejenga chuo (+hospitali) kizuri sana huko kwao. He is set for life...
Kanda yetu bia yetu, acha wivu.Raha ya balimi uzinywe polepole afu zikiwa baridi.
Na Mimi ni Wa huko sasa.Kanda yetu bia yetu, acha wivu.
Unaweza ukawa unafanya kazi kupitia media lakini, kiuhalisia hauna lolote.Labda jiwe linataka kuwapa kazi nyingine,nashangaa mpaka li mpina chalii.
Na lilikuwa linachapa job poa tu.
Safari hii hajaua MTOTO!! Namsisitiza Mh Kigwa aachane na dhana za kutoa kafara ili nyota yake ing'ae!!Hakuchapa kazi inavyostahili? Mbona alikuwa anaonekana mchapa kazi!
Alikuwa na kiburi? Maana Waziri Mkuu alimuonya aache kupoteza muda mwingi Twitter na Fb lakini akawa na kiburi, muda mwingi anajibishana na wapuuzi wa Twitter.
Au mkuu wa kaya amempa nafasi ajiandae kuwa mwanamitindo wa Twitter na FbView attachment 1642501
...vp mrembo..😘😘😘.alikosea sana kujibizana na sie jobless huku kwenye sosho media