mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Alishatumika na muda wake umeisha,1. Juliana Shonza
2.
Aende akaungane na jamaa yake Mtela Mwampamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alishatumika na muda wake umeisha,1. Juliana Shonza
2.
Amewaibia sana Mifugo Wasukuma wenzie,kwa kisingizio wanechungia kwenye hifadhi au mapori ya akiba.Luhaga Mpina kafanyaje?
Siyo Biabati ni Byabato ni mbunge wa Bukoba mjini aliyepata ubunge kwa nguvu ya dola! Alisaidiwa kupora ushindi wa Chief Kalumuna!Nishati- biabati, huyu ni mbunge wa wawapi mkuu
Hii code sio mchezo [emoji16]Kuna askari wa mabakamabaka kutoka ruvu kamuua wife (rip) wake na inasemekana ni wivu wa kimapenzi.
So sad!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kila mwaka Juliana anazaa na mumewe waliomuweka hawana hata nafasi ya kuonja.
Alimdanganya sana mzee baba kuwa Lissu asingepata watu, sasa mzee baba alivyoona zile nyomi JW na PT wakawa waenezi bora zaidiPolepole kapelekwa Bungeni kufanyaje sasa endapo hata unaibu tu kaonekana hatoshi?
[emoji23][emoji23][emoji23]jamaa Hadi ukiwa mchepuko unakula kipondo kumbe?Kuna siku alimshushia kipigo cha mbwa mwizi baada ya kuondoka nyumbani kwake bila kumwambia alienda wapi na kumuacha mtoto na HG. Nadhani tangu wakati huo bado kanuna. Ngoja ninyamaze [emoji850][emoji850]
Naam kuchukua nafasi ya Kesi na yule Mkamia!!!Kazi maalum.Kuondoa ukomo .
Wamemwaga [emoji16][emoji16] kumbe alijisahau wakati wenzie wanafanya kampeni yeye anajifanya kujadili mambo ya mpira [emoji16]
Fisadi. Ana mashamba Morogoro. Kajimilikisha.Luhaga Mpina nini sababu ya kutosha kwake ?
[emoji23][emoji23][emoji23]jamaa Hadi ukiwa mchepuko unakula kipondo kumbe?
Nicheke tu Basi [emoji16]Siri Yao[emoji1787]
Unataka ujue ili iweje
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mtoto kwa nini mweupe?
[emoji16][emoji16]wasukuma kama wote!
Mkuu umesahau mbinu za Magufuli, yule Polepole kaenda pale kwa madhumuni maalumu,kamisaa wa chama bungeni.mfumo wa kijamaa.Polepole kapelekwa Bungeni kufanyaje sasa endapo hata unaibu tu kaonekana hatoshi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]waja.. [emoji119]Mtoto kwa nini mweupe?
Aisee amsamehe tu maana sio official wifeWivu wake acha kabisa [emoji28][emoji28]
Dah.!! Kamwelwe huyu mzee mbona alikuwa akipiga sana kazi
Dah,Huyo mwishimiwa Mayalla anasubiri uteuzi[emoji2][emoji2]