Wafahamu Mawaziri toka Zanzibar

Wafahamu Mawaziri toka Zanzibar

Katika kudumisha Muungano, Ni vyema kuwatambua Mawaziri toka upande wa pili wa Muungano.
1. Masauni (Mambo ya Ndani),
2. Kombo (Mambo ya Nje),
Mkuu, hapo kuna shida gani? mbona wote wana hudumu Wizara za Jamhuri ya Muungano?
 
katibu wa wizara Mkojani.
images (1).jpeg
 
Katika kudumisha Muungano, Ni vyema kuwatambua Mawaziri toka upande wa pili wa Muungano.
1. Masauni (Mambo ya Ndani),
2. Kombo (Mambo ya Nje),
3. Mbarawa (Uchukuzi),
Tatizo lipo uchukuzi. Masuala ya Bandari yalikuwa ya muungano lakini Zanzibar wakaliondoa kimya kimya.

Ikiwa Wazanzibar wana Bandari zao,viwanja vya ndege vyao.

Huyu Mbarawa anafanya nini huku Tanganyika.

Hana uchungu na mali za Tanganyika ndio maana kauza Kilimanjaro International Airport kwa ndugu zao wa Oman 🇴🇲.
 
Katika kudumisha Muungano, Ni vyema kuwatambua Mawaziri toka upande wa pili wa Muungano.
1. Masauni (Mambo ya Ndani),
2. Kombo (Mambo ya Nje),
3. Mbarawa (Uchukuzi),
Pamoja sana
 
Ikiwa Wazanzibar wana Bandari zao,viwanja vya ndege vyao.Huyu Mbarawa anafanya nini huku Tanganyika.Hana uchungu na mali za Tanganyika ndio maana kauza Kilimanjaro International Airport kwa ndugu zao wa Oman 🇴🇲.
Sasa wakiwa na vitu vyao inakuwa hawafai? Huu ni uchokozi.
 
Mkuu hiyo katiba umeisoma vizuri? Mbona iko wazi!!

..Mzanzibari hatakiwi kuongoza wizara isiyo ya muungano, na kuanza kupiga mnada mali za Watanganyika.

..hata mbuga ya Loliondo ilianza kuuzwa Rais akiwa Mzanzibari, alipoona kuna upinzani akateua Waziri Mzanzibari.
 
Mzanzibari hatakiwi kuongoza wizara isiyo ya muungano, na kuanza kupiga mnada mali za Watanganyika.
Sijui unaielewa vipi wizara iliyo ya Muungano.

Ukiangalia orodha ya kwanza ya katiba ya JMT utaona mambo ya muungano. Angalia namba 11, 17, 18 na 19.

Ikiwa hayo ni mambo ya muungano na yapo chini ya wizara ya uchukuzi kuna Mtanzania -Mtanganyika au Mzanzibari - asiyestahiki kuwa waziri. unaposema katiba huwa unakusudia katiba ipi?
hata mbuga ya Loliondo ilianza kuuzwa Rais akiwa Mzanzibari, alipoona kuna upinzani akateua Waziri Mzanzibari.
Swala la kuuzwa chochote, kama kipo kilichouzwa, linaweza kufanywa na rais hata atoke upande gani.
 
Huu muungàno fake naona kama unakaribia mwisho
Dunia ya leo Muungano wa kiuchumi ndio muhimu sio huu wa kupeana madaraka na kuiba mali za nchi moja kwenda kujenga nchi za waarabu.

Sababu zilizopelekea tuungane mama Samia amezivunja hivyo muungano hauna maana yoyote tena kwa Watanganyika .

Tuliungna na Zanzibar ili Utawala wa Kisultani usirudi Zanzibar kwa mgongo wa Wahizibu .
Ndio maana wajukuu wa Sultani kamwe hawakuruhusiwa kutawala Zanzibar .
Tuliungna na Zanzibar kulinda mipaka yetu ili nchi yetu isivamiwe na kuporwa Rasilimali zetu kama ilivyo Kongo.

Sasa leo Bandari kama lango kuu la usalama wa nchi zimeshavamiwa na kutekwa na mtawala kutoka Omani ,Viwanja vya ndege vileshavamiwa ,mapori yote wavamizi wameshachukua na wako tayari kuandaa makundi ya Kigaidi kama Hezzibolla ,alshabab n.k.
Wamehonga wabunge na kila mtu ili tu waendelee kuiba kila kitu mpaka 2035.
Sasa ile maana ya muungano haina maana tena kwa Watanganyika .

Ni bora tuwe na shirikisho kama la East Afrika na Sadec na Zanzibar iwe ni nchi mojawapo na sio huu uvamizi wa nchi moja kutoa Rais kwenda kutawala nchi nyingine tena akiwa na mamlaka makubwa ya kimungu.

2025 akishinda ndio watanganyika wataisoma namba ya Kirumi maana akiteua CDF , IGP na mkuu wa usalama wa Taifa Meanzibar basi ndio nchi itakua mali ya Abduli .

Tanganyika itakua ni kama kabustani la Waarabu na familia ya watu watano kutoka Zenji na sio shamba tena.
Ukizingatia Watanganyika ni watu wanaopenda Tabu tuu hawapendi mambo mazuri .
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tuanze kumkataa Mchengerwa Dalali mkuu wa kutaka kuibinafsisha Serikali ya Tanganyika kwenye Uchaguzi wa serikali za mitaa . Tuhamasishane wote kuwakimbiza wahuni wanaonunua wapiga kura na kuwafulizimia mbali wao ndio waone uchaguzi ni mchungu na hila zao. Ama Chanema na ACT wachukue 85% au CCM waombe poo kila mahali sio kulia lia tena.

Na kama wapinzani hawajajiandaa kuwapelekea moto watakaojaribu kuhujumu uchaguzi basi ni bora waachane na uchaguzi huu waache tu wahuni wawapangie mpaka nani aishi na nani apotee.
 
Sababu zilizopelekea tuungane mama Samia amezivunja hivyo muungano hauna maana yoyote tena kwa Watanganyika .
Ni kweli mkuu. Tusaidiane ili uvunjike haraka iwezekanavyo.
Tuliungna na Zanzibar kulinda mipaka yetu ili nchi yetu isivamiwe na kuporwa Rasilimali zetu kama ilivyo Kongo
Ni kweli mkuu. Sasa tujitahidi ili tuuvunje.
Sasa leo Bandari kama lango kuu la usalama wa nchi zimeshavamiwa na kutekwa na mtawala kutoka Omani
Hapa hujui. Mradi nawe umeadika tu. Jifunze kuandika mambo unayoyajua ili usionekane mjinga.
Sasa ile maana ya muungano haina maana tena kwa Watanganyika .
Ni kweli kwasababu mulidhani munakuja kuidhulumu Zanzibar na hamujatosheka munataka Zanzibar iwe 100% koloni la Tanganyika. Hili bado hamujafanikiwa ndo sababu ya makelele haya. Endeleeni tu.
Ni bora tuwe na shirikisho kama la East Afrika na Sadec na Zanzibar iwe ni nchi mojawapo na sio huu uvamizi wa nchi moja kutoa Rais kwenda kutawala nchi nyingine tena akiwa na mamlaka makubwa ya kimungu.
Hapa umesema kweli. Tuombee hilo litokee ili nasi tupumue. Jitahidini kuna siku tutakuwa na shitikisho. Hili la nchi moja kuitawala nyingine ni matokeo ya matendo yenu kudhani kuwa ni tishio na inastahiki kutupiliwa mbali. Muliposhindwa mukatunga muungano huu ambao leo munauita wa uvamizi.
Tanganyika itakua ni kama kabustani la Waarabu na familia ya watu watano kutoka Zenji na sio shamba tena.
Naliombea hili litokee kwani wenyewe mumelala usingizi na sasa mumebaki kulialia tu mukdhani hayo mambo mutaletewa kwenye kisahani cha fedha. Wajinga ndio waliwao.
Ama Chanema na ACT wachukue 85% au CCM waombe poo kila mahali sio kulia lia tena.
Hili ni sawa, lakini ili wafikishe lengo hilo mukajianikishe, lakini hamtofanya na mtarudi kulialia. Wacheni upumbavu. Amkeni, wajibikeni.
 
Sijui unaielewa vipi wizara iliyo ya Muungano. Ukiangalia orodha ya kwanza ya katiba ya JMT utaona mambo ya muungano. Angalia namba 11, 17, 18 na 19. Ikiwa hayo ni mambo ya muungano na yapo chini ya wizara ya uchukuzi kuna Mtanzania -Mtanganyika au Mzanzibari - asiyestahiki kuwa waziri. unaposema katiba huwa unakusudia katiba ipi?
Swala la kuuzwa chochote, kama kipo kilichouzwa, linaweza kufanywa na rais hata atoke upande gani.

..mimi naona kama Watanganyika tunaonewa, hatutendewi haki ktk muungano.

..Zanzibar wana wizara yao ya uchukuzi, ujenzi, inayoshughulikia masuala yao ktk sekta hizo.

..sasa kupachika Mzanzibari kuwa ktk wizara hiyo kushughulikia mambo ya Tanganyika naona ni kutuonea.

..ukiacha hilo kuna nafasi kama za Ma-DC ktk wilaya za Tanganyika lakini Wazanzibari wameshika nafasi hizo. Huo pia ni uonevu.

..Naamini muungano wa serikali 3 utaepusha dhuluma ambazo Wazanzibari wanazifanya dhidi ya Watanganyika.
 
Watu kama milioni 63 wanaongozwa na watu kama milioni 2.

HIVI VICHEKESHO UNAVIPATA TANGANYIKA!
 
Back
Top Bottom