Wafahamu Mawaziri toka Zanzibar

Wafahamu Mawaziri toka Zanzibar

Zanzibar wana wizara yao ya uchukuzi, ujenzi, inayoshughulikia masuala yao ktk sekta hizo.

..sasa kupachika Mzanzibari kuwa ktk wizara hiyo kushughulikia mambo ya Tanganyika naona ni kutuonea.
Huenda uko sahihi. Sasa na Wazanzibari kuongozwa na Watanganyika, kwa muktadha huo, sio kuwaonea? mkuu ukiona kwako kwaungua, ujue kwa mwenzio kwateketea.
ukiacha hilo kuna nafasi kama za Ma-DC ktk wilaya za Tanganyika lakini Wazanzibari wameshika nafasi hizo. Huo pia ni uonevu.
Wazanzibari wakishika nafasi hizo ni sawa na Watanganyika kwani wote ni Watanzania.
Naamini muungano wa serikali 3 utaepusha dhuluma ambazo Wazanzibari wanazifanya dhidi ya Watanganyika.
Hili la serikali tatu ni sawa lakini fursa ilikuwepo wakati wa bunge la katiba lakini nyinyi Watanganyika ndo muliozuia hilo. Nadhani bado unayakumbuka ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar wakati ule. Haki ya Mungu kwa uoga wenu hamutafanya lolote na hali itaendelea hivihivi. Tuungane tuondoe hili, siyo kulalamika. Siku nyingine mukiitwa kwenye maandamano mujitokeze.

Hili unaloliita dhuluma ambazo Wazanzibari mimi silioni. Zaidi naona uchoyo wenu tu na kudhani munaweza kuwatawala Wazanzibari munavyotaka kwa sababu ya mitazamo yao. Hili halitatokea na haki ya Mungu mutaitapika Zanzibar wenyenu bila kushurutishwa.
 
Huenda uko sahihi. Sasa na Wazanzibari kuongozwa na Watanganyika, kwa muktadha huo, sio kuwaonea? mkuu ukiona kwako kwaungua, ujue kwa mwenzio kwateketea.
Wazanzibari wakishika nafasi hizo ni sawa na Watanganyika kwani wote ni Watanzania.
Hili la serikali tatu ni sawa lakini fursa ilikuwepo wakati wa bunge la katiba lakini nyinyi Watanganyika ndo muliozuia hilo. Nadhani bado unayakumbuka ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar wakati ule. Haki ya Mungu kwa uoga wenu hamutafanya lolote na hali itaendelea hivihivi. Tuungane tuondoe hili, siyo kulalamika. Siku nyingine mukiitwa kwenye maandamano mujitokeze.

Hili unaloliita dhuluma ambazo Wazanzibari mimi silioni. Zaidi naona uchoyo wenu tu na kudhani munaweza kuwatawala Wazanzibari munavyotaka kwa sababu ya mitazamo yao. Hili halitatokea na haki ya Mungu mutaitapika Zanzibar wenyenu bila kushurutishwa.

..Wazanzibari mnatudhulumu. Mnayo haki ya kuteuliwa Wizara ya Fedha, Mambo ya Nje, Mambo ya Ndani, na nyingine za Muungano. Lakini kuwa Ma-DC ktk wilaya za Tanganyika hiyo ni dhuluma. Huyu Mama ameteuwa Ma-DC Wazanzibari ktk wilaya za Tanganyika. Jambo hilo sio sawa.
 
..Wazanzibari mnatudhulumu. Mnayo haki ya kuteuliwa Wizara ya Fedha, Mambo ya Nje, Mambo ya Ndani, na nyingine za Muungano. Lakini kuwa Ma-DC ktk wilaya za Tanganyika hiyo ni dhuluma. Huyu Mama ameteuwa Ma-DC Wazanzibari ktk wilaya za Tanganyika. Jambo hilo sio sawa.
Rejea tena katiba ya Jamhuri na sheria ya uraia. Ikiwa Wazanzibari tunakudhulumuni jitayarisheni kwani kwa muktadha huo tutaendelea kukudhulumuni mpaka siku mutakayoacha kuiangalia Zanzibar kwa jicho la kiimani, kwani mukifanya hivyo mutaiwacha kujiamulia mambo yake yenyewe.
 
Rejea tena katiba ya Jamhuri na sheria ya uraia. Ikiwa Wazanzibari tunakudhulumuni jitayarisheni kwani kwa muktadha huo tutaendelea kukudhulumuni mpaka siku mutakayoacha kuiangalia Zanzibar kwa jicho la kiimani, kwani mukifanya hivyo mutaiwacha kujiamulia mambo yake yenyewe.

..hakuna upande unaopaswa kudhulumu mwingine.

..Wazanzibari wenye fursa ya kudhulumu Watanganyika ndio wanaong'ang'ania muungano.

..usifurahie Samia na genge lake kudhulumu Watanganyika. Muda wa uchaguzi ukifika Samia atatuma majeshi ya Tanganyika yaje Zanzibar kulazimisha Husseni abaki madarakani.

..Ukiona Watanganyika wanampinga Samia na Ccm waunge mkono kwani indirectly wanasaidia Wazanzibari kujikomboa.
 
Katika kudumisha Muungano, Ni vyema kuwatambua Mawaziri toka upande wa pili wa Muungano.
1. Masauni (Mambo ya Ndani),
2. Kombo (Mambo ya Nje),
3. Mbarawa (Uchukuzi),
Tuhesabia na wale wa vitengo pia kama tiss, jwtz na tanpol
 
Wazanzibari wenye fursa ya kudhulumu Watanganyika ndio wanaong'ang'ania muungano.
Ni kweli kwasababu Lukuvi, marehemu Sita na wengine ni Wazanzibari.
usifurahie Samia na genge lake kudhulumu Watanganyika. Muda wa uchaguzi ukifika Samia atatuma majeshi ya Tanganyika yaje Zanzibar kulazimisha Husseni abaki madarakani.
Sawa. Hili la kutuma majeshi halitakuwa limeanzwa na Samia. Alianza Nyerere lakini mpendwa wenu Magufuli akatia fora. Jee hili unalisemaje?
Ukiona Watanganyika wanampinga Samia na Ccm waunge mkono kwani indirectly wanasaidia Wazanzibari kujikomboa.
Nilikuwa nawaunga mkono. Angalia comment zangu wakati yalipotangazwa maandamano. Nimeacha sasa kuwaunga mkono kwani wame/mumejidhihirisha kwamba hamufai kuungwa mkono kwa tabia zenu za uoga kupita kiasi. Sasa endeleeni kulialia huenda mukaletewa serikali kwenye sahani ya fedha nyinyi musojijua.
 
Huko Zanzibar Kuna mawaziri na wabunge wangapi wanaowakilisha Tanganyika kwenye serikali ya maponduzi
 
Mkuu uko macho au unaota?
Sioti hii nchi yettu sote kama mzanzibar. Alivyo na haki bara vivyo hivyoo nikifika ,jang'ombe,kiembe samaki,jambiani chakechake ,mchambawima niwe huru kama nilivyo hapa mtwara
 
Katika kudumisha Muungano, Ni vyema kuwatambua Mawaziri toka upande wa pili wa Muungano.

1. Masauni (Mambo ya Ndani),
2. Kombo (Mambo ya Nje),
3. Mbarawa (Uchukuzi),
Na bila shaka utawatambua watendaji wakuu kutoka Visiwani kwenye sekta na taasisi za kimkakati, mathalani:
1. Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB)
2. Baraza la Mtihani (NECTA)
3. Katibu Mkuu Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
4. Katibu Mkuu Wizara ya Viwanja na Biashara
5. Katibu Mkuu Utumishi?
6. Mtendaji Mkuu Mfuko wa Pembejeo
7. Mkuu wa Mkoa Ruvuma?
8. Mkurugenzi wa Kinondoni?
9. Wakuu wa Wilaya Kilosa, Gairo na Mkuranga?
10. Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE
11. Mkurugenzi Mkuu TPDC
 
Sioti hii nchi yettu sote kama mzanzibar. Alivyo na haki bara vivyo hivyoo nikifika ,jang'ombe,kiembe samaki,jambiani chakechake ,mchambawima niwe huru kama nilivyo hapa mtwara
Nilifikiria unaota kwani siioni Tanganyika kisheria. Kumbuka kwamba unapozungumzia muungano wa Tanzania unazungumzia mambo ya kisheria. Viongozi walioandika katiba ya Jamhuri na baadae kupitishwa na bunge bado wapo. Nikushauri uwasiliane nao, na wala Wazanzibari. Hebu jaribu kuwasiliana na mzee Pius Msekwa ili upate kujua badala ya kuropoka tu.
 
Ni kweli kwasababu Lukuvi, marehemu Sita na wengine ni Wazanzibari.
Sawa. Hili la kutuma majeshi halitakuwa limeanzwa na Samia. Alianza Nyerere lakini mpendwa wenu Magufuli akatia fora. Jee hili unalisemaje?
Nilikuwa nawaunga mkono. Angalia comment zangu wakati yalipotangazwa maandamano. Nimeacha sasa kuwaunga mkono kwani wame/mumejidhihirisha kwamba hamufai kuungwa mkono kwa tabia zenu za uoga kupita kiasi. Sasa endeleeni kulialia huenda mukaletewa serikali kwenye sahani ya fedha nyinyi musojijua.

..Salmin Amour, Amani Karume, Ally Shein, na Husseni Mwinyi, wangekataa damu ya Wazanzibari isimwagike ili wao watangazwe washindi tungekuwa tunazungumzia Zanzibar na muungano tofauti na huu tulionao.

..Watanganyika na Wazanzibari tuikatae Ccm ili tuweze kuishi ktk haki sawa kwa kila mtu, na tuunde muungano wenye manufaa kwa pande zote.
 
Watanganyika na Wazanzibari tuikatae Ccm ili tuweze kuishi ktk haki sawa kwa kila mtu, na tuunde muungano wenye manufaa kwa pande zote.
Mkuu; sasa tumegeukia CCM badala ya muungano? Jee hili la muungano limekwisha?
 
Dunia ya leo Muungano wa kiuchumi ndio muhimu sio huu wa kupeana madaraka na kuiba mali za nchi moja kwenda kujenga nchi za waarabu.

Sababu zilizopelekea tuungane mama Samia amezivunja hivyo muungano hauna maana yoyote tena kwa Watanganyika .

Tuliungna na Zanzibar ili Utawala wa Kisultani usirudi Zanzibar kwa mgongo wa Wahizibu .
Ndio maana wajukuu wa Sultani kamwe hawakuruhusiwa kutawala Zanzibar .
Tuliungna na Zanzibar kulinda mipaka yetu ili nchi yetu isivamiwe na kuporwa Rasilimali zetu kama ilivyo Kongo.

Sasa leo Bandari kama lango kuu la usalama wa nchi zimeshavamiwa na kutekwa na mtawala kutoka Omani ,Viwanja vya ndege vileshavamiwa ,mapori yote wavamizi wameshachukua na wako tayari kuandaa makundi ya Kigaidi kama Hezzibolla ,alshabab n.k.
Wamehonga wabunge na kila mtu ili tu waendelee kuiba kila kitu mpaka 2035.
Sasa ile maana ya muungano haina maana tena kwa Watanganyika .

Ni bora tuwe na shirikisho kama la East Afrika na Sadec na Zanzibar iwe ni nchi mojawapo na sio huu uvamizi wa nchi moja kutoa Rais kwenda kutawala nchi nyingine tena akiwa na mamlaka makubwa ya kimungu.

2025 akishinda ndio watanganyika wataisoma namba ya Kirumi maana akiteua CDF , IGP na mkuu wa usalama wa Taifa Meanzibar basi ndio nchi itakua mali ya Abduli .

Tanganyika itakua ni kama kabustani la Waarabu na familia ya watu watano kutoka Zenji na sio shamba tena.
Ukizingatia Watanganyika ni watu wanaopenda Tabu tuu hawapendi mambo mazuri .
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tuanze kumkataa Mchengerwa Dalali mkuu wa kutaka kuibinafsisha Serikali ya Tanganyika kwenye Uchaguzi wa serikali za mitaa . Tuhamasishane wote kuwakimbiza wahuni wanaonunua wapiga kura na kuwafulizimia mbali wao ndio waone uchaguzi ni mchungu na hila zao. Ama Chanema na ACT wachukue 85% au CCM waombe poo kila mahali sio kulia lia tena.

Na kama wapinzani hawajajiandaa kuwapelekea moto watakaojaribu kuhujumu uchaguzi basi ni bora waachane na uchaguzi huu waache tu wahuni wawapangie mpaka nani aishi na nani apotee.
Lete
Dunia ya leo Muungano wa kiuchumi ndio muhimu sio huu wa kupeana madaraka na kuiba mali za nchi moja kwenda kujenga nchi za waarabu.

Sababu zilizopelekea tuungane mama Samia amezivunja hivyo muungano hauna maana yoyote tena kwa Watanganyika .

Tuliungna na Zanzibar ili Utawala wa Kisultani usirudi Zanzibar kwa mgongo wa Wahizibu .
Ndio maana wajukuu wa Sultani kamwe hawakuruhusiwa kutawala Zanzibar .
Tuliungna na Zanzibar kulinda mipaka yetu ili nchi yetu isivamiwe na kuporwa Rasilimali zetu kama ilivyo Kongo.

Sasa leo Bandari kama lango kuu la usalama wa nchi zimeshavamiwa na kutekwa na mtawala kutoka Omani ,Viwanja vya ndege vileshavamiwa ,mapori yote wavamizi wameshachukua na wako tayari kuandaa makundi ya Kigaidi kama Hezzibolla ,alshabab n.k.
Wamehonga wabunge na kila mtu ili tu waendelee kuiba kila kitu mpaka 2035.
Sasa ile maana ya muungano haina maana tena kwa Watanganyika .

Ni bora tuwe na shirikisho kama la East Afrika na Sadec na Zanzibar iwe ni nchi mojawapo na sio huu uvamizi wa nchi moja kutoa Rais kwenda kutawala nchi nyingine tena akiwa na mamlaka makubwa ya kimungu.

2025 akishinda ndio watanganyika wataisoma namba ya Kirumi maana akiteua CDF , IGP na mkuu wa usalama wa Taifa Meanzibar basi ndio nchi itakua mali ya Abduli .

Tanganyika itakua ni kama kabustani la Waarabu na familia ya watu watano kutoka Zenji na sio shamba tena.
Ukizingatia Watanganyika ni watu wanaopenda Tabu tuu hawapendi mambo mazuri .
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tuanze kumkataa Mchengerwa Dalali mkuu wa kutaka kuibinafsisha Serikali ya Tanganyika kwenye Uchaguzi wa serikali za mitaa . Tuhamasishane wote kuwakimbiza wahuni wanaonunua wapiga kura na kuwafulizimia mbali wao ndio waone uchaguzi ni mchungu na hila zao. Ama Chanema na ACT wachukue 85% au CCM waombe poo kila mahali sio kulia lia tena.

Na kama wapinzani hawajajiandaa kuwapelekea moto watakaojaribu kuhujumu uchaguzi basi ni bora waachane na uchaguzi huu waache tu wahuni wawapangie mpaka nani aishi na nani apotee.
lete uthibitisho wako yakuwa imetekwa na oman
Naona mnapenda kutaja saana jina la oman. Karibu kwetu oman
 
Katika kudumisha Muungano, Ni vyema kuwatambua Mawaziri toka upande wa pili wa Muungano.

1. Masauni (Mambo ya Ndani),
2. Kombo (Mambo ya Nje),
3. Mbarawa (Uchukuzi),
Mbona hujataja makatibu wakuu, wakurugenzi, DC, ma-RAS, CEOs, ma-DAS na watendaji wengine?
 
Tatizo lipo uchukuzi. Masuala ya Bandari yalikuwa ya muungano lakini Zanzibar wakaliondoa kimya kimya.

Ikiwa Wazanzibar wana Bandari zao,viwanja vya ndege vyao.

Huyu Mbarawa anafanya nini huku Tanganyika.

Hana uchungu na mali za Tanganyika ndio maana kauza Kilimanjaro International Airport kwa ndugu zao wa Oman 🇴🇲.
Hata maza hatakiwi
 
Back
Top Bottom