prs
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 2,642
- 3,373
Kwanza Salam Wakuu.
Nimevutika kuandika hii mada kutokana na Waliowengi kufuatilia Bongo fleva zaidi..imesababisha Music kushuka kiwango na Kulazimisha hata Wale waimbaji Wenye vipaji
mf:Christian Bella nae sasa mwimbaji wa Bongo fleva..
Leo natambulisha baadhi Utafiti bado unaendelea..
1)Yvonne Sangudi
U. S. A ndiko anapoishi
Muimbaji
2)Lister Elliya
Japan ndipo anapoishi
Piano&Muimbaji
3)Fresh Jumbe anaishi Japan
Muimbaji
4)Donald s Omar anaishi Malaysia
Piano&Muimbaji
Utafiti Bado unaendelea.. Uzuri wa Hawa Pro Musician huwa hawana Makuu linapokuja swala la lifestyle..
"Ushauri"
Bongo fleva Wakiume Badilikeni.. Huhitaji kuvaa au kujiremba kama mwanamke na Nywele kama za Diamond.. Please ..
Boresheni Mziki wenu Mtakubalika tu.
Nimevutika kuandika hii mada kutokana na Waliowengi kufuatilia Bongo fleva zaidi..imesababisha Music kushuka kiwango na Kulazimisha hata Wale waimbaji Wenye vipaji
mf:Christian Bella nae sasa mwimbaji wa Bongo fleva..
Leo natambulisha baadhi Utafiti bado unaendelea..
1)Yvonne Sangudi
U. S. A ndiko anapoishi
Muimbaji
2)Lister Elliya
Japan ndipo anapoishi
Piano&Muimbaji
Muimbaji
4)Donald s Omar anaishi Malaysia
Piano&Muimbaji
Utafiti Bado unaendelea.. Uzuri wa Hawa Pro Musician huwa hawana Makuu linapokuja swala la lifestyle..
"Ushauri"
Bongo fleva Wakiume Badilikeni.. Huhitaji kuvaa au kujiremba kama mwanamke na Nywele kama za Diamond.. Please ..
Boresheni Mziki wenu Mtakubalika tu.