kwani majini kusilm nijambo baya? wehujui uliza majini wametahajwa zaid yamara 20kweny bible malaika wameelkza dawa zakupnga mappo tibiti6:1-8 na 8;1-3.mambo yaramli ymetajwa samwel1sura28aya ya3-20.yesu alielekrza kupnga majini mathayo8;28-34.namathayo17:14-21..majini pia walmwamin yesu soma marko3;11.pia walitii wanafunzi kwajina la yesu luka10:17.paulo pia alipeleka wanafunzi wakekwashetani wafundishwe wasimtukane mungu timotheo wakwnza1:18-20.hao majn niviumbe na tunaish ktk ulimwngu mmoja kwamujbu wavtbu vyte ndomna ktk biblia walaw17:1-7 MAJNI WALZNI NA WANAISRAEL SO WAO KUAMIN NIHAKI YAO NDOMANA KUNA MAJINI KILA DINI KILA KABILA NAHAYO YMESEMWA NABIBLE HATA KABLA MUHAMMAD HAJZALIWA IKIWA WACHAW WALIAMIN MFNO SIMON SOMA MITUME8:9-11.NAHATA MAPEPO WALITII VP KWNYE QURAN IONEKANE NDO AJBU NA MTAMBUE UISLAM NDODINI ILIPINGA VIKALI USHIRIKINA KULKO DN NYNGNE YYTE aya ya3 ktk sura yatano na aya yatisini ktk sura hiyohiyo mwmungu amesema wazi.quran haiusiki na uganga wala kupunga imesemwa wazi sura ya6 aya112.tujitahidini tusome tusifate mkumbo kmakuna mtu anahitaj ufafanuzi zaid anitfte mana naandka kifup sabbu nnamambo mngi yananizonga nakwakua kuna vitabu vingi nshaandika kuhusu haya mambo sioni sabbu yakujaza jukwaa mtuakitaka hoja avitafute then ataelewa vzuri
Naomba niweke vitu sawa. Kwanza ujue juna tofauti ya kuvitaja vitu na kushirikiana navyo. Uislam unasema kabisa kuwa majini wapo wema na wabaya, lakini Ukristo unasema wazi wazi kuwa majini na malaika walio hasi, hakuna mwema hata. Pia imekataza kupunga pepo na kushirikiana nayo. Kukatazwa kwa uchawi Bible imekataza kweupe kabisa, kuwa wachawi hawato huona ufalme wa MUngu, na hata zaman ya agano la kale wachawi walikuwa wakiuliwa kwa moto. Lakini baadhi ya vitabu vya dini hutumika na wachawi na waganga, kumbuka hivi. Biblia ikiwa mikononi mwa asiye amini inakuwa ni kitabu tu kama kitabu kingine, lakini neno la kwenye biblia likitoka kwa anae amini, ni MOTO,UPANGA, NI NENO LA MUNGU Kabisa so usije sema mbona waganga wanazo bible utakuwa umepata jibu, hakuna anae tumia bible ku rise au kuamsha roho za mauti au kutuma uchawi, lakini baadhi ya vitabu hutumika. Mungu amesema kupitia watumishi wake kuwa, Kisasi juu ya bwana, so huwezi tumia maneno ya kufanyia kisasi, kama umeweza tumia jua, hayo maandiko si Mungu.
Twende katika maandiko uliyo nukuu, kumbuka bible sio kama hadithi za baadhi ya vitabu inahitaji uelewa na ufunuo wa Mungu, tuanza na hili
paulo pia alipeleka wanafunzi wakekwashetani wafundishwe wasimtukane mungu timotheo wakwnza1:18-20.
"
18
uwe mwenye imani na dhamiri njema, ambayo wengine wameisukumia mbali, wakaangamia kwa habari ya Imani.
19 Katika hao wamo Himenayo na Iskanda,
ambao nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.
20 Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote; "
HAPO PAULO AKUPELEKA WANAFUNZI WAKE KWA SHETANI KAMA ULIVYOSEMA, HAPO WAMEPELEKWA WALE AMBAO WAMEITUMA IMANI NA DHAMIRI NJEMA, Maana ni automaticaly ukikataa kuubeba mzigo wa Mungu utaubeba wa shetani na utaona balaaa lake utajifunza, HUWEZI KUWA NEUTRAL.
Twende kwenye andiko lingine sasa,
majini pia walmwamin yesu soma marko3;11.
Hapa unataka onyesha kuwa kuna majini ambao humfata Yesu, huongo wew huelewi hebu tusome mstari huo
"11 Na watu waliokuwa wamepagawa na pepo wachafu walipomwona, walijitupa chini mbele yake na kupaaza sauti, "Wewe ni Mwana wa Mungu!"
12 Lakini Yesu akawaamuru kwa ukali wasimjulishe kwa watu."
Hapa hakuonyeshi majini walimuani Yesu bali walitii mamlaka yake, walitii nguvu zake maana hazipimiki na ndio maana hawakuweza kustahimili na kujikuta wakimsujudia KING. Kumbuka bible ilisema kila goti litapigwa nadhani umeona sample hapo eeh.
Bible sio kama hadithi zileee, hapana inataka ufahamu haswa wa kimungu kutoka kwa Mungu otherwise utafumbwa akili na Shetani uelewi tofautia au usielewe. Karibu katika ulimwengu na imani sahihi, Jesus ni yote