crunkstaa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 331
- 159
hujui kitu ndugu hao wachawi mnaosema mnapiga sana vta mnatumia kitabu gani na tucompare kt ya bible na quran wapi kunamafundisho yakuupinga uchwi nakupmbana nao ss tna aya kibaozinaeleza wazi uchawi madhara yke najinc yakujilnda vp useme cc htuliangalii hilo ntakupa chache tuimraan3:1-2,ikhlasw,nnas,falaq,al araf7:117-121,yunuss10:81-82,twaha20:69,tawba9:4 na ayanyingi zngne ilanynyi hamsom akili zenu mgndo mnaongea mnachohisi mada ya mambo haya narudia ww hunaujuzi nayo cos nimambo mtambuka ynagusa kilanyanja na inabd author awe nimjuzi ama msomi jaribu tu kuwapm wakina mshana jr,mzizi mkavu rankims na wngne watkupa muongzo cc wngne simabingwa wakupost ilatumebobea kwny ilmu hzo saweww ukijahapa nathread ya aina hiyo hlfu inamaudhui mengine cc hatuwz kukausha tutakuchana tu.hoja mbna wachawi hawaanguk micktn huo niutoto hakna asiejua aina yamaknisa yakiroho ufnyji waowaharkt swali jpes mbna hawaanguki kweny maknisa ya kiroma,anglikna na ruthlani inamana kule yesu hayupo hebu jfunze kuwa na heshma ya maoni ndugu
Pole na kazi mkuu,kuna jambo naomba utusaidie sisi wadau tunaopenda kujua hii elimu,pia kama kuna source of Information yeyote nakuomba msaada wako mkuu.Asante