Wafahamu wachawi na uchawi hapa

we nae tulia eti kila dini ina majn.... mmmh mwongo ww

sijasema kila dini inamajn nmesema wapomajini kila dini nahata kabila kuna watu huwa wnangoma zaasili zamajini ambao wanamakbila hao majini wangindo,wamasai nk nawakipndasha hiyo mijn yao huongea lugha hizo htakma wnyewe wahuska hawjui lugha hizo nahiinihapahapa tz nawakskia qur.an hulia nakuzba maskio hau hukimbia kbsa ktk miil yawahucka hayo nimajn yamakbila na ktk kmbukumbu yangu nshawahi kumsmea mtusimmja ambao huwawakipndisha mapepo wanahubri biblia tena wanaijuakimbele nakinyume nlipokuja kuwaulza waksema wametkea kwny koo za kkristo safinawana tka kiti awemtuwaknisa watampa upako nk.nashkuru ckuwah shindwa ktk vtahata ckumoja.kuna jamaa namfahamu hakusoma hatadarasa moja ilaniinginia wakutgemewa ktk wilayamoja hapa nchini hiv nnavyokwambia yupo german mana wanamtumia sana ktk kazi zao yy anajini wakijerumani na simwislamu yy wala huyo jini wake kwni humtokea usiku akmwmbia kilakazi inayotakiwa kufanyka hiyo nimifano yahapa bongo tu.Tukija nje mm nmekaa india nmeona nakusoma baadh ya elimu huko wao ndio mabingwa wauchawi duniani na wanatumia hayo majini ambayo iman zao znaendana,nmekaa bosnia nako vlevle,mwisho misri ndonlipohitmisha nakuanzia masomo yangu kuna orthodox na dn nyngine kibao zakishetani na hata ndugu hujasikia inamaana hata habari za freemasons au wale wachungaji wa kule nigeria?hii dunia inasiri nyngi ndugu.usipnde kubisha kilakitu uliza kwanza
 

nashukuru ntakuuliza swali jepesi tu hivi kanisa lakwanza lilikuwa dhehebu gani?ni dhehebu gani lililoshirki ktk uandshi na ukusnyaji wamaandiko yabiblia?hayo makanisa yakiroho yameanzishwa na nani na lini?msitake kuwa mnakata tawi mlolikalia mkisema waroma hawanaimani mtuambie nyie dini mmepata kwanani mana haiwezekni mbongo akawa anaijua zaid bible zaid ya walioiandika nakama waowanaficha ukweli nyie baada yakuwaletea dini mmegundua mtuambie nikwafaida yanani?tulisha sema kama ilovykwa ulaya hakukaa nabii mdomna hatuamn walichokibuni basi naukiristo hasili yake cihapa vp tuamini mnachokibuni?
 

wachawi na wapinga kristo utawajua tu! inaonesha una hasira mpaka unashindwa kuandika, mtoa mada ameongea kile kitu anachojua, sioni amekurupukaje! kwanin utake aandike unavyovijua wewe?wakati unae jua huo uchawi ulikaa kimya, au unaogopa kukata tawi ulilo kalia?..!
 

mkuu najua utapata vipingamizi vingi kiroho hata kimwili ili tu usitimize hii ahadi nakuombea uzima uje ushushe mambo huku, i'm ignorant of those things, i can hardly wait to read about the majiniz
 
mbona mchungaji aliyetajwa ni marehemu moses kulola vipi kuhusu wachungaji wengine e.g mama Rwakatale, askofu kakobe, mzee wa upako, gwajima et al? :ban:
 

mkristo vs. swala 5, what is the relationship? tusidanganyane bwana, inaonyesha kabisaa kuwa hii ni sauti inayotokea gizani baada ya jiwe kurushiwa huko! swala 5 hazim-determine mkristo aliye hai kama unavyodai, labda kwa upande huo wa pili unaojaribu kuukana.. ni mtazamo tu!
 
Last edited by a moderator:

Una uelewa finyu, sikulaumu bali ni poor intellectual ability uko nayo....nilichotumia hapo ni slang tu nikimaanisha kwamba mimi ni Mkristo ninaetambua misingi yote ya maisha ya Kikristo.

Nilichokua nikifanya ni kum challenge huyo mwandishi wako ndio maana nikasema naamini uwepo wa shetani nikimaanisha kwamba Mungu yupo. Huwez kumuamini Mungu kama hukubali uwepo wa ibilisi. Utakua ni usanii tu.

Seems wewe ni wale watu wanaoropoka mambo bila kufikiri.
 

Kama yeye kaeleza ya kidato cha kwanza kwa nini na wewe mkuu usieleze ya kidato cha tatu ambayo yeye hajayajua?
 

Asante, Inaonyesha wewe unaropoka baada ya kufikiria, nimekuuliza swali, kuna uhusiano gani kati ya mkristo hai na swala 5? baada ya kujibu swali unaanza kunieleza uhusiano kati ya uwepo wa mungu na shetani, who asked you about it? Hauko Sawa, Get yourself together!
 

Nonsense.

(Re-Read the first paragraph of my recent post alaf nenda ka argue na watoto wenzio)
 
Nonsense.

(Re-Read the first paragraph of my recent post alaf nenda ka argue na watoto wenzio)

Hahahah.. Ume-panic sio? mtoto ni wewe unaejibu usilo ulizwa just to justify your nonsense.. u claim to be an intellectual person but i don't see it in your lamentations, argue with facts nina uhakika hata wewe hujui ulichokiandika huko so si busara nikarudie kusoma huo upuuzi
 
Mtoa mada ni pointless
No essence
We sapoti walokole hao
 

Nonsense.
 
Nonsense.

i don't see any sense in you either, you just can't accept the fact that you are a fool, a fool at his best, no wonder you are a boy not a man yet, men doesn't behave the way you do, if you cannot argue with facts then shut the f**k up, it doesn't worth arguing if you don't answer what you are asked.
 
Hivi third eye ni ya kiroho ama kichawi?
 

Point of correction:
Men don't behave
 
Hii habari umeipataje wewe ulikua mchawi kabla, au imeandikwa kwenye Bibilia, je ina maana wachawi wote kule gambushi, Sumbawanga wote wanajua kuongea kiarabu, maana hata waislam wenyewe wapo wengi kiarabu hawakijui. na uchawi ni upi hasa, wale wanaokata viungo vya albino, waliokua wanapiga nondo, wachuna ngozi, watoa koromeo, wale wa memory card wapo kundi gani, halafu pepo wachafu kwanini huwapanda walokole tu na ikiwa hii jamii haina dhambi. Nimeshudia mtu ametolewa pepo na siku nyingine akatolewa tena mtu huyo huyo asie dhambi, kwanini,mleta mada?
 
??
Ndugu yangu unajua maana ya kanisa?? kanisa maana yake ni watu wenye kumuabudu Yesu kristo na wala si majengo unayoyaona,kanisa la kwanza halikuwa na dhehebu kwa maana hayo madhehebu ni mapokeo ya wanadamu wenyewe ndio walioyaanzisha.
swali la pili ni kwamba hapo mwanzo hapakuwa na dhehebu ndugu yangu maana maandiko ya biblia yaliandikwa na manabii na wanafunzi wa yesu au mitume wa yesu
Makanisa ya kiroho yalikwepo tangu enzi za mitume nkimaanisha lile kanisa la kwnza lilikuwa nilakiroho kwa maana wale mitume walikuwa wanatoa pepo na pia walikuwa wanawajaza watu roho mtakatifu n.k, lakini kwa hapa afrika yameanza kutokea kwnye karne ya 20 hv.lakini pia utambue baadhi ya makanisa hasa hayo unayoyatolea mifano wao mambo yao mengi wameyafanya mapokeo yao wenyewe kwa maana wanafanya vitu tofauti na biblia mfano kuombea wafu,kuabudu sanamu,kubatiza watoto wadogo na kutokutoa pepo ndo mana siku hizi wanafungisha ndoa za jinsia moja hayo yote ni mapokeo yao wanayaingiza kwnye dini zao tofaut na makanisa ya kilokole kwa maana makanisa ya kilokole hufata misingi yote ya biblia hasa kanisa la kwnza la mitume,ukisoma matendo ya mitume utagundua hiyo kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…