Wafahamu wachawi na uchawi hapa

Mpaka hapo unamanisha ukiristo ndio dini ya kweli na dini zote zilizobaki ni za uongo na hazina nguvu ya kuzuia wachawi!!! Teh teh teh! Wagatia mnashida sana then mnasahau hayo makanisa yenu ya kiroho pia hutumia uchawi, kinachotofautisha ni kuzidiana nguvu tu.

Cc stunna
 
Last edited by a moderator:

* Mkuu umesoma India na Egypt kama unavyodai....tulia, andika maelezo yako kama msomi....hujui umuhimu wa paragraph...then unaunganisha maneno..kuna umuhimu wa kuacha nafasi kati ya maneno....andika taratibu ili ueleweke na wengi sio kama mtoto wa darasa la kwanza....
 
Hilo si jina la kawaida, ni jina lililokirimiwa kupita majina yote, jina lenye mamlaka . Hata kuzimu wakiwa wanataka kumtaja hutumia neno kama The one kama code ya jina hilo, kinyume na hapo ni hatari gizani

Kweli kabisa. Ndio mana hata wazinzi wanalitajaga sana Jina hilo katika michezo yao.
 

Mbona umepanic bro.....
 

Mbona umepanic bro.....
 

Ww ndo uanze kusoma kwanza maana ata kuandika tu hujui....yan una panic tuuu
 

Hawaanguki romani,anglikan,rutheran coz hakuna nguvu ya yesu ila wanaanguka kwenye makanisa ya kipentecost t.a.g coz kuna nguvu ya yesu hapo kuna moto ulao watu wanaomba sana kwenye ayo makanisa tofauti na roman uko....
 
Uchawi ni imani kali pilikapilika inayoambatana na matumizi ya sumu.
 
Hawaanguki romani,anglikan,rutheran coz hakuna nguvu ya yesu ila wanaanguka kwenye makanisa ya kipentecost t.a.g coz kuna nguvu ya yesu hapo kuna moto ulao watu wanaomba sana kwenye ayo makanisa tofauti na roman uko....

Waambie mkuu maana hawajui hao
 

We jamaa umemaliza kila kitu. Sijui nikupe zawadi gani?! Brilliant remarks from u!
 
ahaaaaaa

Topic: Wafahamu wachawi na uchawi hapa

Tyr nishawanasa, kuna wafuasi wa shetani nilishawajua,nyie wachawi hamwezi mkalizima jina la Yesu.
Huo ndiyo ukweli.

Topic imejitosheleza
 
Dah kweli jf nikisima cha elimu thanx mleta mada
 
Mungu akubaliki na kukinga na vita ya kiroho na mwili maana najua unafunua mambo yao mengi ya Giza. Endelea kutubariki.
 
God is spirit n who worship him must worship him in spirit n truth so do pentecostal people. Kiboko ya uchawi na wachawi
 
Kuna wale wapinga Kristo wa madhehebu Yale ya zamani watakuja kuupinga wokovu. Pia kuna wale wa ibilisi watakuja na kuanza kulinganisha wokovu na dini yao

Hongera Mkuu, wewe dhehebu lako la kisasa na la kidigitali.
 
So kwa mada yako ya wachawi unaonyesha wazi unataka tuwe malokole sio? Kwani ulokole ndio njia pekee ya kupambana na uchawi? Na maombi ya usiku wanafanya walokole tuu waislam awafanyi? Achana na izo mambo wewe mwenyewe mchawi tuu ulijuaje siri za uchawi ikiwa vitabu vyote vya mungu amna ata kitabu kimoja kinachosema kuwa njia inayopita mchawi akiwa anapaa ndio njia anayorudia au kuna kitabu gani cha mungu kinasema kuna wachawi wanaotembea na fagio kijiko au ungo? Mrudie mungu wako wewe achana na izo habari mchawi mkubwa wee
 
Mh ww ni ngumu sana kusaidika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…