Wafahamu wachawi na uchawi hapa

Kama haujawai kuwa mchawi kupokea maelezo yote kutoka Kwa mchawi sio valid maana shetani ni muongo. Kama majini yalimdanganya Yesu Kwa kusemahivy lipo Moja kumbe ni kikosi kizima. Yanawadanganya walokole wengi wanaoyapa maiki. Hata wachawi maelezo yao sio ya kuyaamini 100℅ unless umefuniliwa au wewe ulikuwa mchawi kbla
 
Ukristo wenyewe ni uchawi pia.wakristo wapo wengi wachawi na waislam wapo wachawi poa.Nembo kuu ya muabudu shetani ni msalaba.Wakristo ni tabaka la kiimani lenye wivu na husda kuu na imani zinginezo.
Ukristo sio uchawi ila wapo wakristo wengi wachawi mno
 
Ukristo wenyewe ni uchawi pia.wakristo wapo wengi wachawi na waislam wapo wachawi poa.Nembo kuu ya muabudu shetani ni msalaba.Wakristo ni tabaka la kiimani lenye wivu na husda kuu na imani zinginezo.
Wewe ni mshirikina
 
Mbona waganga wengi ni nyie waslam mkuu? Wapiga Bao nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna kitu cha kujifunza toka kwako, ila nashindwa kukufuatilia sababu ya mwandiko wako. Tafadhali fanyia kazi hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukristo sio uchawi ila wapo wakristo wengi wachawi mno
Hapo ndipo ukweli ulipo ukristo ni uchawi Kama ulivyo uchawi mwingine wowote.Na ndio uchawi pekee unaothibitisha na kukiri umuhimu na uzito wa kafara ya damu ya binaadam
 
Hapo ndipo ukweli ulipo ukristo ni uchawi Kama ulivyo uchawi mwingine wowote.Na ndio uchawi pekee unaothibitisha na kukiri umuhimu na uzito wa kafara ya damu ya binaadam
Mkuu kama huelewi mambo utilie.
Ukristo sio uchawi na ndio njia pekee ya kuwasaidia wachawi. Hakuna imani nyingine duniani inayowrza kumsaidia mchawi kuacha uchawi
 
Mkuu kama huelewi mambo utilie.
Ukristo sio uchawi na ndio njia pekee ya kuwasaidia wachawi. Hakuna imani nyingine duniani inayowrza kumsaidia mchawi kuacha uchawi
Kila mtu abaki na alijualo maana kila mtu ana alijualo.
 
Mimi huwa najiuliza ni nini hasa faida wapatayo wachawi,wanga,washirikina sijui vigagula katika shughuli zao?? Maana utakuta wengi wanaoshukiwa kuwa wachawi na wanga kwa macho haya ya kawaida hawana maendeleo yoyote zaidizaidi ni masikini na wachafu wa kutupwa...huwa sielewi aisee faida ya kazi zao..
 
mwisho wa kuloga huwa ni saa 10 na nusu usiku ikizidi sana saa 11-------------------Kuna ibada ya salatul Lfajiri

Wachawi wote duniani wameipitisha siku ya ijumaa kutokufanya safari yoyote ile ya kichawi-----------Swalatl Jumaa

Katika kukwepa kwepa kwamba wachawi wanaogopa nguvu ya Dini ya Islam na vile wewe ni Kafir basi ukasingizia ulokole
 
Sio kwamba ijumaa. mda ule wa kuswali ndo ua mda wa wachawi kufrahia lugha ya mkuu wao. Yule asiye jua kusoma wala kuandika[emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili jina kiboko kuzimu marufuku kulitaja kabisa kuna mmoja alienda huko akajisahau akalitaja mapepo yote na shetani yaliungua kukuchafuka kabisa. Hili ni jina lipitalo majina yote.
MNA JIFALIJI"
 
Kuna wale wapinga Kristo wa madhehebu Yale ya zamani watakuja kuupinga wokovu. Pia kuna wale wa ibilisi watakuja na kuanza kulinganisha wokovu na dini yao
Hapa Sijakuelewa, Wapinga Kristo wa Madhehebu yote ya Zamani, inamaana Kabla ya ulokole madhebu yote, yalikua yanakosea, na yanaendelea kukosea sio.

Wewe mlokole endelea na imani yako hata wewe, unaamini kupitia Bibilia ile ile, mlichobadili nyie mchapuo tu, Makanisa kuwa mali ya mtu binafsi.

Uhakika wa unachoamini ni imani tu, haya maneno nimeongoe na Mungu ni imani tu, kuongea Mungu si mchezo mchezo, mfano wewe mwenyewe,
Mtu mwenye maadili hutengeneza upendo badala ya chuki, na maneno ya kuudhi, Kwa kuponda imani zao, badala ya kuwasawishi kwa upendo waje kwenye imani yako Wasiiamini.

Ila kwa maandishi yako haya na baadhi ya vitendo vya wenzio mnakatisha tamaa, watu waliotaka kusawishika.View attachment VID-20190216-WA0030.mp4

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi kweli kweli maana hata dhima ya somo imepotea kwa kuingiza udini mala walokole ndio wenye uwezo wa kudeal na wachawi wakati wakristo wengine hawawezi ,inachanganya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…